wazee kuna siri gani hapa tanzania naona wageni wanazidi kuwa wengi tu ukulinga nisha na miaka na nyuma .wageni namaanisha watua ambao sio watanzania. Waejazana wanafanya madeal tofauti tofauti. Kuna siri gani humu?
nieleweshe basiInawezekana nae mgeni ndio sababu haelewi
wazee kuna siri gani hapa Tanzania naona wageni wanazidi kuwa wengi tu ukulinga nisha na miaka na nyuma .wageni namaanisha watua ambao sio watanzania. waejazana wanafanya madeal tofauti tofauti. kuna siri gani humu?