Mbona tigo wapo hivi?

kinyoba

JF-Expert Member
Jun 2, 2011
1,267
718
Habariza leo wadau? Huwa najiunga na tigo internet mara kwa mara kwenye simu yangu, sasa siku ambayo sina mpango nayo hasa ukizingatia na huu mgao kunasiku unakuta huna charge au unamambo mengine au huwa sijiungi nayo. Tatizo ni kuwa tigo wanakuunganisha na kukata sh 450 hatakama hujaomba. Customer care wanasema tuma neno DEACT na nimefanya hivyo asubuhi na kujibiwa kuwa nimejitoa kwenye kifurushi. Sasa nashangaa nimeunganishwa tena, SIJUI KAMA NA NYIE WADAU MMEONA HII KITU: huu ni wizi na usanii, lazima mteja awe na maamuzi na pesa zake katika akaunti yake, na hiyo custumer care ukipiga simu hadi upokelewe ni robo saa au zaidi.hata hii huduma ya kukopesha pesa ni usanii tu, iweje wao wao wakupangie kiasi cha kukopa? Eti kigezo ni wewe umekua mteja mzuri sana hivyo tutakukopa sh 800 au 1500; HUU PIA NI WIZI; wanapaswa kuweka options za kiasi gani mtu anataka kukopa kama wenzao voda. BINAFSI NAWAONA KAMA TIGO HAWAPO SMART.
 
yah kweli jamaa wanakera,mi nlishahama huko wewe unasubir nini?,ok anyway khs hilo la kuunganishwa na internet daily 2ma hilo DEACT kwenda 15166 wataacha maana hata mimi nlifanya hvyo wakaacha....pls kama vp hamia huku....
 
Habariza leo wadau? Huwa najiunga na tigo internet mara kwa mara kwenye simu yangu, sasa siku ambayo sina mpango nayo hasa ukizingatia na huu mgao kunasiku unakuta huna charge au unamambo mengine au huwa sijiungi nayo. Tatizo ni kuwa tigo wanakuunganisha na kukata sh 450 hatakama hujaomba. Customer care wanasema tuma neno DEACT na nimefanya hivyo asubuhi na kujibiwa kuwa nimejitoa kwenye kifurushi. Sasa nashangaa nimeunganishwa tena, SIJUI KAMA NA NYIE WADAU MMEONA HII KITU: huu ni wizi na usanii, lazima mteja awe na maamuzi na pesa zake katika akaunti yake, na hiyo custumer care ukipiga simu hadi upokelewe ni robo saa au zaidi.hata hii huduma ya kukopesha pesa ni usanii tu, iweje wao wao wakupangie kiasi cha kukopa? Eti kigezo ni wewe umekua mteja mzuri sana hivyo tutakukopa sh 800 au 1500; HUU PIA NI WIZI; wanapaswa kuweka options za kiasi gani mtu anataka kukopa kama wenzao voda. BINAFSI NAWAONA KAMA TIGO HAWAPO SMART.
<br />
<br />
unatakiwa uangalie muda unaojiunga,kabla haujaisha ndo unajiondoa hata mimi nilikuwa na tatizo kama hilo.tuma neno DEACT KWENDA 15166
 
Back
Top Bottom