Deogratius B shayo
Member
- Feb 7, 2012
- 55
- 10
umetumwa na ccm sio? waambie hujatukuta
Asante sana ngoja nimfafanulie zaidi ni kwamba kampuni ina sifa km mtu kisheria inaweza kushtakiwa au kufungua mashtaka mbali na mmiliki hilo suala ungelidirect kwa mngmt labda utendaji wao umekuwa mbovu na kampuni imeshindwa kulipa madeni yake ya muda mfupi km mishahara nkBusiness is a separate entity from the owner...