Dickson Ng'hily
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 451
- 485
- Thread starter
- #21
Saa 12 jioni. We subiri tu
Mtoboasiri...Me bado niko macho cjafumba hata jicho moja nasubiri kwa hamu kubwa...
Saa 12 jioni. We subiri tu
ng'hily rudi kwenye jukwaa la siasa kule acha kuungojea mwisho ambao haupo
Nilisoma Bango moja pale Ubungo Bus Terminal lililokuwa linasomeka kuwa Mwisho wa Dunia ni tarehe 21/05/2011...Sasa kinachonishangaza ni kuwa already tuko 21/05/2011 na mwisho wa dunia haujaonekana...Au wenzangu mshauona?Au niko mwenyewe duniani?......