hahahaha napata picha alivyokuwa binti yaani huyo madame hakufaa kuwa firstlady bali alitakiwa awe hukooooooookwenye mambo ya fashions za kina dada
Kwa taarifa, jamaa zangu wa Cameroon wanasema awali alikuwa girlfriend wa mtoto wa Rais. Aidha, pia alikuwa model. Mzee alivyomng'aza katika madisco yaliyokuwa yakipigwa Ikulu akaamua kumpindua mwanaye na kumshauri atafute mwingine kwani yeye (Mtoto) bado kijana hivyo ana mtaji mwingi.
Kwa taarifa, jamaa zangu wa Cameroon wanasema awali alikuwa girlfriend wa mtoto wa Rais. Aidha, pia alikuwa model. Mzee alivyomng'aza katika madisco yaliyokuwa yakipigwa Ikulu akaamua kumpindua mwanaye na kumshauri atafute mwingine kwani yeye (Mtoto) bado kijana hivyo ana mtaji mwingi.
Mbiliabell si mbiliabell, tshalla muana si tshalla muana yani hajakaa ki kifirts lady!! Kakaa ki sanii zaidi!! Kama mkongo!!!
Daima mwanamke hawezi kumsifia mwenzie hata kama kapendeza.. Hoooo amekaaaaa kishangingi, jamani acheni hizoooooo!
Kwa taarifa, jamaa zangu wa Cameroon wanasema awali alikuwa girlfriend wa mtoto wa Rais. Aidha, pia alikuwa model. Mzee alivyomng'aza katika madisco yaliyokuwa yakipigwa Ikulu akaamua kumpindua mwanaye na kumshauri atafute mwingine kwani yeye (Mtoto) bado kijana hivyo ana mtaji mwingi.
duh!haya umeheki na hao wengine kwenye first page?tupe habari zao
huyu ndio m rembo kuliko ma first lady wote duniani.