Mtumie Private Message {PM} Invisible umuombe akupe ruhusa ya kuingia jukwaa la Mambo ya kikubwa, huko ndiko utaikuta thread yako. TangoporiNaambiwa tangopori you have no access to view the post.
Inaniuzi maana kuna thread moja nimeanzisha kule MMU lakini nimekuta imeandikwa moved halafu siruhusiwi kuisoma. Hii inakuwaje?
Mtumie Private Message {PM} Invisible umuombe akupe ruhusa ya kuingia jukwaa la Mambo ya kikubwa, huko ndiko utaikuta thread yako. Tangopori
Cookie lile jukwaa la mambo ya wakubwa naona huwa wanapeana ujuzi na style mbali mbali...Jukwaa la maujuzi ndilo lipi ? Tech, Gadgets, Science Forum ? FirstLady1
Cookie wewe bado unatambaa under18 ukiwa above18 utamudu kutembea na kufika jitahidi.Jukwaa la maujuzi ndilo lipi ? Tech, Gadgets, Science Forum ? FirstLady1
Naambiwa tangopori you have no access to view the post.
Inaniuzi maana kuna thread moja nimeanzisha kule MMU lakini nimekuta imeandikwa moved halafu siruhusiwi kuisoma. Hii inakuwaje?
Mie nimezuiwa kwenye chit chat halafu mara jamii photo ! Ni nini kinaendelea ?Naambiwa tangopori you have no access to view the post.
Inaniuzi maana kuna thread moja nimeanzisha kule MMU lakini nimekuta imeandikwa moved halafu siruhusiwi kuisoma. Hii inakuwaje?