Juzi akihutubia mkutano wa wanachama na na washabiki wa CCM,Kikwete alisisitiza kutowachagua wana-CCM wanautuhumiwa na wale wanaotuhumiwa na ufisadi. Huyu mukulu mbona anatuchanganya? Si yeye aliyewapigia kampeni wale watuhumiwa wa ufisadi mwaka 2010 akiwasifia kuwa ni mapanga yasiyoisha makali. Je huyu mweshimiwa anadhani tumesahau zile kampeni zake mpaka aanze kutupigia hizi porojo zake leo?