G. Activist
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 482
- 125
CHUO KIKUU DAR ES SALAAM (UDSM) KIMEONDOKEWA NA PROFESSOR MUTAKYAHWA NGULI WA MIAMBA
Kwanza poleni sana wanajumuiya ya Chuo kikuu cha Dar es Salaam kwa kupotesa mtu muhimu kama huyu, ni wazi alikuwa amebobea sana kataka field yake ya miamba. watu wengi sana hasa wale waliokuwa wanasomea miamba na madini wanamjua vizuri sana.
Professor alikuwa anamchango mkubwa sana kwa Taifa, hususani kwenye makampuni ya madini ama Kabanga nickel, Na mengine mengi sana.
Leo tumemuaga Professor, nimeshangaa kuona hakuna kiongozi hata mmoja aliyekuwepo pale msibani... Hivi michango ya wasomi wetu katika taifa haitambuliki au??? Au watu huenda mahali pale ambapo wanaamini watapata Publicity..... Shame on viongozi wetu.
Kwanza poleni sana wanajumuiya ya Chuo kikuu cha Dar es Salaam kwa kupotesa mtu muhimu kama huyu, ni wazi alikuwa amebobea sana kataka field yake ya miamba. watu wengi sana hasa wale waliokuwa wanasomea miamba na madini wanamjua vizuri sana.
Professor alikuwa anamchango mkubwa sana kwa Taifa, hususani kwenye makampuni ya madini ama Kabanga nickel, Na mengine mengi sana.
Leo tumemuaga Professor, nimeshangaa kuona hakuna kiongozi hata mmoja aliyekuwepo pale msibani... Hivi michango ya wasomi wetu katika taifa haitambuliki au??? Au watu huenda mahali pale ambapo wanaamini watapata Publicity..... Shame on viongozi wetu.