Naomba kuuliiza Chadema kuna makamu mwenyekiti - visiwani(Mzee Said Mzee) ambaye mwenza alikuwa Marehemu Chacha Wangwe na naibu katibu mkuu - visiwani (Hamad Mussa Yusuf) mwenza wake akiwa Mh. Zitto Kabwe.
Lakini mbona hatuwasikii hawa mabwana Mzee Said Mzee na Hamad Mussa Yusuf kila siku ni Mbowe, Dr. Slaa, Zitto .....wanakuwa kama picha tu hapo Chadema na kama wapo hawapo au ndio ule msemo watu wanasemaga chama kina wenyewe, au ni protokali ya chama ndivyo inataka hivyo naomba kueleweshwa....au ni ni watu wa kufanya majukumu maalumu?