Mbona hawa hawana BUNDUKI wala MABOMU!

Xuma

JF-Expert Member
Jul 14, 2010
683
196
Huyo ni mmoja wa waandamanaji cheki wanavo mdhiditi usala kwanza kwa wote police na Mwandamanaji! Sijui ingekuwa bongo hapo angekuwa kaisha pata nini kari ya Risasi ya Moto na Bomu la machozi??

Untitled.png
 
Hao hao siku nyingine wanakuja hivi:

Corbis-0000240333-048.jpg

Hapa lazima itakuwa china tu make huwa hawana mchezo! Niliwahi kusikia kuwa kuna mwaka wanafunzi chuo kikuu waliandama rais akaamuru vifaru viende vvikawakanyage na kuwacrash du!
 
hata wa kwetu wanajuwa wajibu wao ili wanaamua kutojali

Tatizo police wetu wamaleta hasira binafsi utasema wao ndio wamekosewa kumbe mtu kavunja sheria iliyotungwa na serikali alafu yeye kama police role yake ni kuhakikisha mtu anakamatwa anapelekwa kunakohusika lakini wao wanakuja na hasira binafsi huku wakiwaza jamaa ANADHALILISHA JESHI endapo itaonekana wamezidiwa nguvu (hapa ndio shida badala ya kuangalia sababu zilizofanya raia kuwazidi nguvu wao wanatumia nguvu kupita kiasi kikubwa waonekane washindi wao)
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom