mkudeson
Senior Member
- Nov 24, 2011
- 104
- 16
Mtoto: baba sasa ivi saa ngapi?
Baba: mabetri yaliisha chaji kwa hiyo saa imesimama.
baada ya kuweka mabetri;
Mtoto: baba unaifanya nini hiyo saa?
Baba: nairekebisha ili iwe sawa na saa nyinginezo maana ilishapoteza majira.
Siku mbili baadae baba akaibiwa ile saa yake ya mkononi.
Mtoto: baba sasa ivi saa ngapi?
Mama: umeme umekatika kwa hiyo redio haifanyi kazi.
baada ya umeme kurudi:
Mtoto: baba, redio ilishapoteza majira mbona hauirekebishi?
Baba: mabetri yaliisha chaji kwa hiyo saa imesimama.
baada ya kuweka mabetri;
Mtoto: baba unaifanya nini hiyo saa?
Baba: nairekebisha ili iwe sawa na saa nyinginezo maana ilishapoteza majira.
Siku mbili baadae baba akaibiwa ile saa yake ya mkononi.
Mtoto: baba sasa ivi saa ngapi?
Mama: umeme umekatika kwa hiyo redio haifanyi kazi.
baada ya umeme kurudi:
Mtoto: baba, redio ilishapoteza majira mbona hauirekebishi?