Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Kuna thread inauliza mkoa wenye wasichana/wanawake wazuri. Mbona watu hawaulizi mkoa wenye wanaume wazuri?? Kwa swali hili, mimi naanza kujibu ni MKOA WA MARA.
Kipimo cha mwanaume ni urijali na fedha.
Kipimo cha mwanaume ni urijali na fedha.
Kipimo cha mwanaume ni urijali na fedha.
Hili nalo neno atiukiwa na upendo na pesa za mahitaji.....
utagombewa na wadada tanzania nzima
Mkoa wa Tanga
Arusha wanaume wengi wazuri utafikiri black americans ila meno sasa lol, me i go for Mwanza wasukuma wazuri jamani wamepanda kwa juu wana mamashine ya kufa mtu wanapenda mpaka utadhani zuzu, ila wakipata nyumba ndogo utatamani kukimbia hawakumbuki tena nyumbani,
kwa kifupi hawawezi kugawanya penzi wakifall kwa mwingine mapenzi yanahamia hukohuko we mama wa home utajijua. anaebisha aje na vidhibiti