Mbona hamjibu pm zangu

Kumbe unajua utamu wake eeh!!

Ukiiona tu basi roho inakuwa tamu kweli aisee!

ila inakera pale unapodhani umetumiwa na husninyo, kongosho, FL, SL au feis buk, nazjaz e.t.c, ile unafungua unakuta ni li-Paw likikuonya kuwa umetukana kwenye thread.. .
Inakera?
 
ila inakera pale unapodhani umetumiwa na husninyo, kongosho, FL, SL au feis buk, nazjaz e.t.c, ile unafungua unakuta ni li-Paw likikuonya kuwa umetukana kwenye thread.. .
Inakera?


hahaha sasa mkuu ulitaka aku ban bila kukuonya ..?

 
ila inakera pale unapodhani umetumiwa na husninyo, kongosho, FL, SL au feis buk, nazjaz e.t.c, ile unafungua unakuta ni li-Paw likikuonya kuwa umetukana kwenye thread.. .
Inakera?

hahahahaha! aiseeee! dah hapo stimu kwishney kabisa!!
 
ila inakera pale unapodhani umetumiwa na husninyo, kongosho, FL, SL au feis buk, nazjaz e.t.c, ile unafungua unakuta ni li-Paw likikuonya kuwa umetukana kwenye thread.. .
Inakera?

hahahahaha! Wenzio wakipata pms za mods wanafurahi we unanuna. Lol.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom