Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Kumbe unajua utamu wake eeh!!
Ukiiona tu basi roho inakuwa tamu kweli aisee!
ila inakera pale unapodhani umetumiwa na husninyo, kongosho, FL, SL au feis buk, nazjaz e.t.c, ile unafungua unakuta ni li-Paw likikuonya kuwa umetukana kwenye thread.. .
Inakera?