Mbolea,sukari na Portland cement

kassamali

JF-Expert Member
Jan 11, 2010
214
40
jamani wadau natumaini nyote ni wazima wa bukheri jamani naombeni msaada wenu wa mtu yoyote anayejua importer wa Mbolea au cement au sukari ambaye anaimport kuanzia tani 10000 na kuendelea kwa mwezi ili kuongea naye biashara atakeyeweza kufanikisha basi tutamfikiria kwa kamishina au kwa mtu anayeweza kunionganisha na serikali kwa ajili ya kusuply kwa bei nzuri nayo itakuwa si mbaya .Asante
 
Mzee kwa kifupi kuna makampuni mengi yanaagiza bidhaa kama hizo kutoka nje ya chi lengo langu ni kuwa suplier wao ila kwa bei nzuri labda kuliko ile wanayoagaizia ni hilo tu mzee
 
Mimi nipo maeneo ya Urusi sehemu ambapo mbole kama chemical zinazalishwa kwa kiwango cha juu sana na kwa bei nzuri kama ukiwa mwenyeji ila kwa issue kama sukari mimi nina uzoefu mkubwa na manufactures wa Bazir ambapo naweza kupata kwa bei nzuri kuliko kama mtu mwingine angeingia kichwa kichwa
 
Kwa hiyo wewe ni mfanyabiashara au broker?.. na huo uzoefu wako na wafanyabiashara wa "Bazir" uliupataje? au uliupatia wapi?
 
Sasa si utaua soko la bidha za apa nchini as aresult kaka zako na dada zako watakula nyasi!ila kwa kuwa serikali yenyewe haiko serious unaweza proceed
 
Sasa si utaua soko la bidha za apa nchini as aresult kaka zako na dada zako watakula nyasi!ila kwa kuwa serikali yenyewe haiko serious unaweza proceed

Mkuu nakuelewa baba ila mimi si mnyama kiasi hicho ni mzalendo sana na nchi yangu je wewe unalionaje hili wakati serikali inanunua mbolea mfano kwa dola 470 CIF Dar es salaam ambapo kwanza wameuziwa bei ya juu na watu kibao wamekula pesa na wakati huo huo mbolea itamfikia mkulima kwa shillingi elfu 80 kwa mfuko wa kilo 50 wakati mimi naleta bidhaa ile ile yenye kiwango kile kile kwa dola 270 kwa tani CIF Dar es salaam na wakati huo huo mkulima wetu kule kijijini atanunua mfuko kwa shillingi 20000 Je nani muuaji wa uchumi wa nchi wa kaka ambapo kama binadamu hapo nitatengezeza faida dola 2 tu
 
Back
Top Bottom