Mbio za urais 2015 CCM na baraza jipya la mawaziri

Wewe umefanikisha nini hata ukamsema mwenzako?

Mzee,

Jaribu kusoma vizuri kabla ya kuanza kutype. Mimi nimeuliza huyu Muungwana amefanikisha nini katika nafasi aliyokuwa nayo miaka mitano iliyopita, sasa ilo swala la kumsema sijui umelitoa wapi. Jamani kama mtu anatajwa kwamba anaweza kuwa Rais mtarajiwa, si itakuwa vyema kama sisi wananchi tutamjua inside-out ili tusije uziwa mbuzi kwenye gunia.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom