Chilipamwao
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 523
- 128
Hivi Mama Maria alikuwa naye M NEC ? Na Mama Mkapa je alikuwa nani ? Ama kweli CCM ina mambo mengi baada ya hapo watasema Chadema ya ukoo ?
swali zuri. hii ni ajabu, subiri kidogo utasikia Ridhiwani anagombea na miraji pia. ni vituko mno