Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
mkuu wangu nyu bado nawasiliana na wapiga picha wa biharamulo na bukoba wote wanipe submition ya picha zao niziweke hapamkuu mchukia ufisadi, biharamulo mashariki vipi?
Duuuh niko mwanza huyu dogo wa chadema ni balaaa yaani maandamano yalikuwa makubwa mnooooo...polisi nimewapongeza kwa kuweka ulinzi makini na wamekuwa very polite kuhandle washabiki wa huyu bwana...Masha kazi anayo haswa
Duuuh niko mwanza huyu dogo wa chadema ni balaaa yaani maandamano yalikuwa makubwa mnooooo...polisi nimewapongeza kwa kuweka ulinzi makini na wamekuwa very polite kuhandle washabiki wa huyu bwana...Masha kazi anayo haswa
Nyamaganakigogo dogo huyo wa jimbo gani, maana nataka kuona jiji kama mwanza linakuwa la mfano kuunga mkono mageuzi siyo kungangania cccccmmmmmmmmmmm tu