lowassa is far much better than muungwana na ndio ambayo kidogo alifanya serikali ya JK ....mwaka wa kwanza wafikie mafanikio ambayo yamesimama ghafla especially mafanikio ya shule za kata kila kijiji ...ambayo hadi leo jk anayaimba ..its was lowassa"s baby...hilo halina ubishi...,na ukiondoa kasoro za lowassa ..basi lowassa is better kuliko jk hivi alivyo ....kwani kama utasema labda jk sio fisadi sana ..lakini lazima tujuwe sluggishness yake inaligharimu taifa kiasi gani....
Kuhusu kugombea kwa lowassa sioni kama ni issue kubwa kwani chama kitaamua ..yeye hajatamka tofauti na mtu kama JOHN MAGALE SHIBUDA ambaye yeye kashatamka rasmi interest yake.....
Wakuu zangu jamani mweee!.
Lowassa analindwa na JK kama anavyolindwa Mkapa, Rostam, Karamagi, Meghji, Kingunge na wengineo woote mafisadi wa CCM. Hii ni ilani kuu ya chama pamoja na kwamba haipo ktk maandishi..
Sioni kitu kikubwa kabisa ambacho anatendewa Lowassa ndani ya chama tofauti na wengine hadi hivi sasa kiasi kwamba tufikirie Lowassa anaweza kugombea urais kwa sababu tu anasafishwa ni kutoona mbali zaidi marefu ya mkono..
Hivi kweli watu mnaamini shule za kata ni kazi ya Lowassa toka anaingia Uwaziri mkuu hadi anaondoka kila siku ukifungua gazeti kuna cotoon za Lowassa mara atatuletea mvua za kisayansi, scandal za ndege kupaa, kufukuza kazi waajiriwa,majibu ya kihuni kwa ndugu yetu Mwanakijiji bado tu mnafikira huyu mtu ana nafuu zake kuliko JK ati kwa sababu JK analigharimu Taifa..Sasa ni lipi linatugharimu ambalo halikuwepo wakati Lowassa akiwa PM!
Ama kweli sisi - Miafrika Ndivyo Tulivyo!