Mbinu za kutokomeza UFISADI

Nakumbuka enzi hizo majambazi yalikuwa yanakamatwa na baada ya muda mfupi wanatolewa; wananchi wakachoshwa na hali hiyo wakaamua kujichukulia sheria mkononi kwa kuwachoma moto mara tu wawakamatapo badala ya kuwapeleka kituo cha polisi.

Na juu ya suala kama hili la watu wazito kula pesa na baadaye kulindana nalo litafikia hatua wananchi watachoka na kuamua kuchukua sheria mkononi na kufanya watakavyo, mfano kiongozi yeyote yule anayehusika na ubadhilifu wa pesa za serikali anaweza kujikuta NYUMBA YAKE INACHOMWA MOTO au GARI YAKE INACHOMWA MOTO PIA AU MUHUSIKA MWENYEWE KUTEKWA NYARA NA KUPELEKWA MAFICHONI KWA KIPINDI KISICHOJULIKANA.

SASA IMEFIKIA WAKATI WOTE WANAOKULA PESA ZA SERIKALI, WASIWE NA RAHA NA HIZO PESA KWA KUTANUA ILA WAWE NA MASHAKA NA MAISHA YAO NA FAMILIA ZAO PIA.

NAHISI KUWAWEKA KATIKA MAISHA YASIYO NA RAHA WANAWEZA KUJIFUNZA KIDOGO, NA PIA KAMA KUNA UWAJIBISHWAJI BASI WAWAJIBISHWE.

NAUNGA MKONO NA PIA HATA KAMA IKIWA UNAHITAJIKA MCHANGO WA KUKAMILISHA KAMPENI YA KUUNGUZA MOTO NYUMBA ZA WOOOOOTE WALIOHUSIKA KUCHOTA MAPESA NIKO TAYARI KUTOA MCHANGO WANGU ILI ZOEZI LIFANIKIWE.
 
Nakumbuka enzi hizo majambazi yalikuwa yanakamatwa na baada ya muda mfupi wanatolewa; wananchi wakachoshwa na hali hiyo wakaamua kujichukulia sheria mkononi kwa kuwachoma moto mara tu wawakamatapo badala ya kuwapeleka kituo cha polisi.

Na juu ya suala kama hili la watu wazito kula pesa na baadaye kulindana nalo litafikia hatua wananchi watachoka na kuamua kuchukua sheria mkononi na kufanya watakavyo, mfano kiongozi yeyote yule anayehusika na ubadhilifu wa pesa za serikali anaweza kujikuta NYUMBA YAKE INACHOMWA MOTO au GARI YAKE INACHOMWA MOTO PIA AU MUHUSIKA MWENYEWE KUTEKWA NYARA NA KUPELEKWA MAFICHONI KWA KIPINDI KISICHOJULIKANA.

SASA IMEFIKIA WAKATI WOTE WANAOKULA PESA ZA SERIKALI, WASIWE NA RAHA NA HIZO PESA KWA KUTANUA ILA WAWE NA MASHAKA NA MAISHA YAO NA FAMILIA ZAO PIA.

NAHISI KUWAWEKA KATIKA MAISHA YASIYO NA RAHA WANAWEZA KUJIFUNZA KIDOGO, NA PIA KAMA KUNA UWAJIBISHWAJI BASI WAWAJIBISHWE.

NAUNGA MKONO NA PIA HATA KAMA IKIWA UNAHITAJIKA MCHANGO WA KUKAMILISHA KAMPENI YA KUUNGUZA MOTO NYUMBA ZA WOOOOOTE WALIOHUSIKA KUCHOTA MAPESA NIKO TAYARI KUTOA MCHANGO WANGU ILI ZOEZI LIFANIKIWE.
Maneno mazito haya lakini bado tu viongozi wetu hawajui uchungu wa wananchi na mateso yao!
Huku Mh Rais keshasema kuwa hakuna ufisadi bali makampuni ndio mafisadi pekee yao!
Viongozi wao ni swafi tu..Na Lowasaa na Chenge ni ajali kazini kwenye enzi hizi za ari mpya na kasi mpya ya ufisadi!
 
Alikataa ushauri wa wazalendo wa mbinu za kupambana na ufisadi kwasababu na yeye ni FISADI!
 
Back
Top Bottom