Mbinu za kutokomeza UFISADI

Hapo juu nimewakilisha, Mawazo ya watanzania Wawili, Bw jasper na Bw Abel. WANA WITO WA MAADAMANO MAKUBWA TZ NZIMA!

Mimi binafsi sioni tatizo la Maandamano makubwa Tanzania nzima kuonyesha kilio chetu kwa tunachofanyiwa na kundi dogo sana la Watanzania wenzetu ndani ya Taifa letu wenyewe.

Najua maandamano ni kitu kisichokwepeka. Najuadhana ya maadamano iko mioyoni kwa Watanzania wengi sio hao wawili tu, wanaona ndio njia pekee ya ku_express what they think and feel deep in their heart. Maandamono yanaweza yakawa makubwa kama nini!! hata kama Ya mwaka 1967. Hilo linawezekanakabisa.

Swalai la msingi: Chukulia maandamano yamefanyika Tarehe 5 Febuary 2008. Hii ni Tz, surely yatamalizika Salama, tutapumzika na kuyasimulia..jioni nzima baadaye we go to sleep! Tarehe 6. Febuary 2008 itafika. Siku moja baada ya maandamano, How do we proceed from there? Viogozi Ni walewale? Mifumo ni ileile au?

Personaly inanipa shida. Kunawakati nafikiri hivi; kama tunamaanisha kweli..Then mbona jibu liko wazi?. Kuwaondoa viongozi wote mafisadi katika ngazi mbalimbali za kitaifa. Nani haoni hilo ndilo jibu..atlist lorgicaly! But Kesho asubuhi itafika tutatizamana...TUTAWAKUWA TUMEWA_REPLACE WAKINANANI? WATAKUWA GROOMED FROM WHERE AND HOW.....? NAONA DILEMMA TUPU!! Radical changes zinafanyikaje??
 
Hapo juu nimewakilisha, Mawazo ya watanzania Wawili, Bw jasper na Bw Abel. WANA WITO WA MAADAMANO MAKUBWA TZ NZIMA!

Mimi binafsi sioni tatizo la Maandamano makubwa Tanzania nzima kuonyesha kilio chetu kwa tunachofanyiwa na kundi dogo sana la Watanzania wenzetu ndani ya Taifa letu wenyewe.

Najua maandamano ni kitu kisichokwepeka. Najuadhana ya maadamano iko mioyoni kwa Watanzania wengi sio hao wawili tu, wanaona ndio njia pekee ya ku_express what they think and feel deep in their heart. Maandamono yanaweza yakawa makubwa kama nini!! hata kama Ya mwaka 1967. Hilo linawezekanakabisa.

Swalai la msingi: Chukulia maandamano yamefanyika Tarehe 5 Febuary 2008. Hii ni Tz, surely yatamalizika Salama, tutapumzika na kuyasimulia..jioni nzima baadaye we go to sleep! Tarehe 6. Febuary 2008 itafika. Siku moja baada ya maandamano, How do we proceed from there? Viogozi Ni walewale? Mifumo ni ileile au?

Personaly inanipa shida. Kuna wakati nafikiri hivi; kama tunamaanisha kweli..Then mbona jibu liko wazi?. Kuwaondoa viongozi wote mafisadi katika ngazi mbalimbali za kitaifa. Nani haoni hilo ndilo jibu..atlist lorgicaly! But Kesho asubuhi itafika tutatizamana...TUTAWAKUWA TUMEWA_REPLACE WAKINA NANI? WATAKUWA GROOMED FROM WHERE AND HOW.....? NAONA DILEMMA TUPU!! Radical changes zinafanyikaje??
 
Hapo juu nimewakilisha, Mawazo ya watanzania Wawili, Bw jasper na Bw Abel. WANA WITO WA MAADAMANO MAKUBWA TZ NZIMA!

Mimi binafsi sioni tatizo la Maandamano makubwa Tanzania nzima kuonyesha kilio chetu kwa tunachofanyiwa na kundi dogo sana la Watanzania wenzetu ndani ya Taifa letu wenyewe.

Najua maandamano ni kitu kisichokwepeka. Najuadhana ya maadamano iko mioyoni kwa Watanzania wengi sio hao wawili tu, wanaona ndio njia pekee ya ku_express what they think and feel deep in their heart. Maandamono yanaweza yakawa makubwa kama nini!! hata kama Ya mwaka 1967. Hilo linawezekanakabisa.

Swali la msingi: Chukulia maandamano yamefanyika Tarehe 5 Febuary 2008. Hii ni Tz, surely yatamalizika Salama, tutapumzika na kuyasimulia..jioni nzima baadaye we go to sleep! Tarehe 6. Febuary 2008 itafika. Siku moja baada ya maandamano, How do we proceed from there? Viogozi Ni walewale? Mifumo ni ileile au?

Personaly inanipa shida. Kuna wakati nafikiri hivi; kama tunamaanisha kweli..Then mbona jibu liko wazi?. Kuwaondoa viongozi wote mafisadi katika ngazi mbalimbali za kitaifa. Nani haoni hilo ndilo jibu..atlist lorgicaly! But Kesho asubuhi itafika tutatizamana...TUTAWAKUWA TUMEWA_REPLACE WAKINA NANI? WATAKUWA GROOMED FROM WHERE AND HOW.....? NAONA DILEMMA TUPU!! Radical changes zinafanyikaje??
 
Please Jamani Wana Jf Wenye Ndugu Ambao Niviongozi Katika Serikari Wasome Mada Tunazo Ziandika Ili Wajue Kuwa Tumejizatiti Kupambana Maana Hata Tusipo Pambana Tutakufa Bila Historia Lakini Tukifa Katika Pambano Tutakumbukwa .......wazee Wa Japan

Wanaume Wenzangu Tunusuru Ili Jaahazi
 
Hata mimi nimeshaanza kuingiwa na uchovu na pengine inawezekana nikawa kama huyo jamaa aliyeamua kuacha kufuatilia mambo ya bongo.Tuendelee kuomba Mungu kizazi kijacho kifungue macho na kuikomboa nchi yetu!This time naona haiwezekani!KIZAZI KIJACHO NAAMINI KITAKUWA NA UJASIRI!KIZAZI HIKI"NO WAY"TUSUBIRI KUFA TU THEN TUWARITHISHE WATOTO WA VIGOGO NCHI YETU!ILA NAAMINI KIZAZI KIJACHO KITAFUNGUA MACHO!
 
Mr. EWA:
Mjadala huu wa "Mbinu za Kutokomeza Ufisadi......." unafanana na ule aliouanzisha ndugu jmushi1, unaosema: "Serikali Ishinikizwe....."

Mijadala hii miwili ni mhimu sana, lakini nadhani ingefana zaidi kama ingeunganishwa na kuwa mahali pamoja ili wachangiaji waweze kuona mawazo yaliyochangiwa kwa pamoja.
 
Ukweli ni kuwa "Watanzania" ni kama watu waliorogwa lakini ukichunguza kwa undani si kurogwa bali ni upeo wa elimu ya kuchanganua mambo na sera. Huwezi kuamini katika vijiji vya Tz, wanaamini bila CCM hakuna AMANI. Hiki ndicho kinachowafanya "MAFISADI" waendelee kula kuku kwa mrija. Nashauri vyama vya "SIASA" vifungue "VITUO au MAKTABA" za habari ambapo yatapatikana magazeti ya kila siku na Viperurushi kutoka Vyanzo mbalimbali vya habari" ili hata wale wasio na uwezo kupata magazeti waweze kupata habari. Wachache watakaoweza kusoma at grass root level watasaidia kusambaza habari ambazo ni sensitive. Huwezi kuamini nimetembelea Nguruka, Uyumbu-Ussoke, Sitalike-Mpanda na Misigiri' nikakuta wananchiwengi hwajui kuwa BoT ndiyo injini ya nchi, wanafikiri ni kama benki nyingine nchini.
 
jmushi1:
Mjadala huu juu ya "Serikali Ishinikizwe......" unazungumzia mambo yale yale yanayozungumziwa kwenye mjadala mwingine uliopo hapa ulioanzishwa na Mr. EWA wenye kichwa cha habari: "Mbinu za Kutokomeza Ufisadi...."

Lingekuwa jambo zuri kama MODS wangeiunganisha mijadala hii miwili ili wanaJF waweze kutoa mawazo yao mahala pamoja kuhusu njia zinazoweza kutumiwa kuondosha ufisadi, tena wa nguvu, usiokuwa na aibu wala haya unaofanywa na watawala wetu.
 
Mimi nadhani ni wajibu wa kila Mtanzania kuhakikisha kwamba anaondokana na dhanA potofu kwamba kazi ya kuweka mambo sawa Tanzania ni kazi ya kundi la Watu fulani tu.

Rais wa nchi kama kiongozi mkuu wa serikali kwa kuchaguliwa au kwa namna yeyote ile ana uwezo wa kiwango fulani wa kubadiri mambo, lakini hana uwezo wa kuweka mambo yote sawa.
Sisi wananchi wa Tanzania kwa umoja wetu ndiyo pekee tuwezao kubadiri mwelekeo wa maendeleo wa nchi yetu. Nguvu ya kubadiri mwelekeo wa maendeleo ndani ya nchi na kukomesha shughuli chafu za kuiba fedha za wavuja jasho zifanywazo na viongozi serikali imo mikononi mwetu daima.

kama kuna kundi la viongozi wa kuchaguliwa au wa kuteuliwa ambao wamekuwa mzigo kwetu Watanzania kwa muda mrefu, wakulaumu siyo hao viongozi, wakulaumiwa ni sisi wananchi wa tanzania kutoka kila kona ya nchi,kila hatua ya maisha na kila jamii.

Viongozi wote wa nchi wametoka miongoni mwetu na ni sehemu yetu wananchi, sisi ndiyo tuwapao nguvu ya kuwepo madrakani na nguvu ya kufanya chochote watakacho; na ni sisi wenyewe ndiyo tuwezao kuwaondoa katika enzi yao na kuwalazimisha kuwajibika kwa maovu yao yote, ikiwa ni pamoja na kuwafikisha katika vyombo vya Sheria na kuwafungulia mashitaka ya kuhujumu uchumi.

Kanuni ya kumlaumu au kumlalamikia mtu mwingine kwa maovu yanayo endelea inasema hivi;

" Anaye laumiwa anapewa nguvu katika mlinganyo wa uzani kuliko anayelaumu"

Ukimlaumu mtu unapunguza uwezo wako wa kutafuta njia mwafaka za kutatua tatizo.

Ukisha mlaumu mtu kwa vyovyote vile hatua yako ya pili ni kutafuta sababu nzuri za kujenga lawama yako ili joho la lawama limkae vizuri.
Joho la lawama likimkaa na jamii ikamwona ni mtu mwovu kwa kawaida wewe mvalisha Joho unakaa na kubweteka.

Ieleweke,Sina maana ya kwenda kinyume na shutuma nyingi zitolewazo na watu juu ya viongozi wezi. Nina maana ya kuamsha hisia za kuchukua hatua iliyo kubwa kuliko kukaa na kulaumu.

Kitendo cha kurudia tena na tena kumchagua Mbunge anayeshiriki vitendo vya kuiba fedha za umma na kuingia mikataba inayotuliza sisi wananchi kimaslahi ni kitendo kinacho onyesha tatizo miongoni mwetu sisi wananchi kuliko kwamba mbunge huyo ana matatizo.

Kama mbunge amekalia kiti kwa miaka 30 na sisi wananchi tunamlalamikia kila uchao,malalamiko hayo hayaleti maana hata kidogo.

Wakujilaumu katika so ya kuchagua mbunge Nunda tena na tena ni sisi wapiga kura tulio wananchi wa kawaida.

Tukiweza kujilaumu wenyewe na kufikia hatua ya kuona tuna matatatizo nguvu ya kuchukua hatua amabayo siku zote hubebwa na mlaumiwa itaturudia wananchi.

Mara nguvu ya kuchagua kiongozi wetu kwa uhuru haki(Sheria) na utashi wetu ikiturudia wananchi, tunapata uwezo wa kuibomoa serikali yote ya watu Mamruki wanao endesha nchi kama genge la mbweha wenye njaa.

Tukubali kwanza kubeba lawama kwamba sisi wananchi ndiyo chanzo cha matatizo yote tuyaonayo leo ndani ya serikali ya SISIEMU.

Wanaiba Kura.
Kura zinaibiwa katika mitaa nyua na ofisi za serikali tuishimo na tufanyamo kazi sisi watanzania.
Wizi wa kura ni dalili moja ya tatizo kubwa la jamii kuliko kuwa tatizo la viongozi tuwachaguao.

Wanatoa Rushwa.
Rushwa tunailea wenyewe kwa visingizio visvyo kwisha. Rushwa tumeifanya kuwa ndiyo side income. Ni kweli ukipokea rushwa unaongezewa uwezo wa mfuko wako kama mwafaka wa kutatua matatizo kwa muda mfupi, lakini matatizo ya muda mrefu yanjizidisha na kujisokota kaisi kikubwa mno.

Ni uamuzi wetu kuhifadhi junia la karanga liwe mbegu hadi wakati wa msimu wa kupanda au kuligeuza njugu za kutafuna wakati wa kiangazi na kipupwe.

Kiini cha matatizo yetu ni udhaifu wetu wa kushindwa kutambua kwamba tu dhaifu katika maamuzi, npia ukweli kwamba viongozi wahuni tuwachaguao hutumia udhaifu wetu kujikita madarakani mpaka kifo kiamue vinginevyo.

SAA YA UKOMBOZI NI SASA
 
Nashukuru sana MADILU.

Kuna mambo kadhaa muhimu sana ambayo umeyagusia na kama kweli yakifanyiwa kazi then kutakuwa na nuru ya mabadiko ya kweli!
Nianze na mfano mmoja ambao ni mfano hai..wakati mgonjwa wa akili akifanyiwa utafiti, huwa anapewa baadhi ya assignments ili kumpima.
Moja ya mambo ambayo mtu anayepimwa anaweza kutafsirika kwamba ana matatizo ya akili ni kufanya mambo yale yale na kutegemea mabadiliko
"Doing the same thing over and over again expecting different results!"
Wananchi wakitaka wasifanywe kama wana ugonjwa wa akili then wasiendelee kuwachagua viongozi wale wale na kutegemea kuwa watapata mabadiliko! Hiyo ni njozi ya mchana saa sita!

Point nyingine uliyoigusia ni ya rushwa.
Hakika hapa ndo penyewe hapa!
CCM hawawezi kufikiri kuwa they can fool all the people all the time! They can do so to some people maybe sometimes..but all the time to all of us? No way! Give me a break..This time ni lazima something got to happen..Huwezi kuniambia kuwa pesa zilizoibiwa hazikutumika katika rushwa na everything else kuwasaidia kushinda uchaguzi!


Yani kweli CCM wanafikiri kila mtu ni mjinga kiasi hicho? KWANINI MSAJILI MKUU WA VYAMA AMA RAIS MWENYEWE(EVEN THOUGH I DOUBT)WASIRUHUSU AKAUNTI ZA CCM ZIFANYIWE UCHUNGUZI KUONA KAMA MATUMIZI YOTE YANAENDANA NA VITABU VYAO VYA FEDHA?

Point ya tatu ni kuhusu suala la wizi wa kura! Madaftari ya wapiga kura ya kudumu yafanyiwe uchunguzi na watu washitakiwe kwa kuuza kura!

Pia ni lazima! "NASEMA NI LAZIMA KUWE NA TUME HURU YA UCHAGUZI" Sheria za kikoloni zilizoachwa na mkoloni ambazo ni za ukandamizaji zirekebishwe! Viongozi wana maneno matamu hiyo ni tofauti na mkoloni! Lakini sheria ni zile zile za mkoloni!

Mwisho; ninaamini mabadiko yanawezekana..ila ni baada ya uwajibikaji.

Ni kweli kwamba sisi wenyewe ndio wakujibadili. Lakini MADILU usisahau kuwa asilimia zaidi ya 80 ya watanzania wako vijijini ambako bado wanahitaji msaada wa hali ya juu; moja kuwahelimisha, kuwasaidia ili waweze kwanza kabisa haki zao, uraia wao, umuhimu wao, at the same time kuwaelimisha na kuwaonyesha ni kwa jinsi gani umasikini wao, maradhi yao, magonjwa yao, ukame wao, uduni wao wa elimu, ukosefu wao wa maji na matibabu!

Kuwaonyesha direct link kati ya matatizo yao yote na maamuzi yao wanapokwenda kupiga kura!
Wajue kwamba upigaji wao kura ndio hatua ya kwanza na hatua ya pili ni kufanya mabadilko na kutegemea mabadilko!
Kwamba wanaweza kuwachagua viongozi wengine wanaoweza kufanya kazi ya kuwaondoa kwenye matatizo yao.

Sasa kuanze kampeni rasmi kwa kushirikiana na mashirika yasiyo ya kiserikali pamoja na wadau wote wenye uzalendo na nchi yetu.
Tujaribu tu ili vizazi vyetu vijavyo vitukumbuke..Historia itaandikwa upya Tanzania, vizazi vijavyo vitajua kuhusu vita ndani ya nchi yetu, vitajifunza kuhusu vita vya majimaji, vita vya mau mau kule Kenya..Vita ya kumuondoamkoloni ambaye alikuwa mdhalimu!
Watajifunza kuwa watanzania walipigana kulilinda taifa lao dhidi ya Idi Amin! Kubwa zaidi watakalojifunza..kwa maoni yangu binafsi ni hili la ufisadi!
Kama likifanyiwa kazi na viongozi kuwajibika..then watajua, kama watanzania walibadilika na kuamua kuwang'oa mafisadi kutoka kwenye madaraka wanayoyashikilia kwa nguvu zote..then watajifunza hilo.

Watajifunza kuwa madaraka sio tu kwamba ni fursa ya kuwaongoza wananchi bali pia uwajibikaji!
Wataendelea kujifunza kuwa ni muhimu kuchagua viongozi wenye kufanya kwa mambo kwa uwazi na uwajibikaji!
Kwamba tulijitoa muhanga kufanikisha mapinduzi haya! na kuwawezesha wananchi kujimudu na maisha na ku"overcome" enviroments zao!
Kuziexploit kuzitumia kwa manufaa yao na pia kuweza kujikinga na maradhi ikiwa ni pamoja na kuhifadhi mazingira yao!
Ni kuwaletea maendeleo ili wajue umuhimu wa ushiriki wao katika kuwachagua viongozi wao. Wajue harufu ya demokrasia na kuikumbatia.
Wawezeshwe kuzalisha mazao yao na kuuza ziada yake ili kuongeza pato lao.
Kampeni za vijijini ambapo kuna wapiga kura wengi ni muhimu!

Pia kuchunguza demography ili kujua ni watu wenye umri gani ambao ndio wengi Tanzania!
Kama ni vijana then ni kuwapa changamoto ili washiriki kwenye ulinzi wa mali za Taifa letu.
Wananchi waelewe kuwa wao ndio wamewaajiri viongozi na wao ndio wadau wa nchi hii!
Kwa Dunia ya sasa wadau wasiporidhishwa na ufanyaji kazi wa wale waliowaajiri kusimamia mali zao then wana haki ya kuhoji na hata kufanya mabadiliko!
 
Mugo"The Great";130369 said:
Ukweli ni kuwa "Watanzania" ni kama watu waliorogwa lakini ukichunguza kwa undani si kurogwa bali ni upeo wa elimu ya kuchanganua mambo na sera. Huwezi kuamini katika vijiji vya Tz, wanaamini bila CCM hakuna AMANI. Hiki ndicho kinachowafanya "MAFISADI" waendelee kula kuku kwa mrija. Nashauri vyama vya "SIASA" vifungue "VITUO au MAKTABA" za habari ambapo yatapatikana magazeti ya kila siku na Viperurushi kutoka Vyanzo mbalimbali vya habari" ili hata wale wasio na uwezo kupata magazeti waweze kupata habari. Wachache watakaoweza kusoma at grass root level watasaidia kusambaza habari ambazo ni sensitive. Huwezi kuamini nimetembelea Nguruka, Uyumbu-Ussoke, Sitalike-Mpanda na Misigiri' nikakuta wananchiwengi hwajui kuwa BoT ndiyo injini ya nchi, wanafikiri ni kama benki nyingine nchini.
Inachekesha lakini inasikitisha at the same time kwasababu ndio ukweli.Ndio maana nimekuwa nikiwaambia marafiki zangu kuwa CCC haiwezi kukubali kuwaelimisha watu.Wanajua wakifanya hivyo ulaji utapotea kwani watu watajua haki zao.CCM wanataka classes.Watawaliwa na watawala.Angalia budget ya serikali..chunguza uone kama elimu imepewa namba moja kama inavyostahili.!Rais mpenda watu na maendeleo anashindwa kuifanya budget ya elimu kuwa ndiyo itakayopewa pesa nyingi kuliko kuliko ya mashangingi,marupurupu,na mishahara?Kama wananchi wakijua kuwa pesa zote hizo wanazozitumia kuishi kama wako peponi zi za kwao kutakalika kweli?Tuitumie nafasi hiyo na kwenda kufanya mambo huko vijijini uone kama hawataiondoa CCM madarakani!
 
jmushi1:
Mjadala huu juu ya "Serikali Ishinikizwe......" unazungumzia mambo yale yale yanayozungumziwa kwenye mjadala mwingine uliopo hapa ulioanzishwa na Mr. EWA wenye kichwa cha habari: "Mbinu za Kutokomeza Ufisadi...."

Lingekuwa jambo zuri kama MODS wangeiunganisha mijadala hii miwili ili wanaJF waweze kutoa mawazo yao mahala pamoja kuhusu njia zinazoweza kutumiwa kuondosha ufisadi, tena wa nguvu, usiokuwa na aibu wala haya unaofanywa na watawala wetu.
sawa tu almradi tubaki kwenye pointi na kuwa serious!
 
Kuna usemi maarafu ambao sina mashaka hata viongozi wetu wanufahamu fika!Kwamba nyundo ya uwajibikaji huanzia juu.Na ikigongwa madhara yake huonekana mpaka chini.Kwa maana kwamba kama Balali ndiye kinara wa ufisadi huu wako wapi walioko chini yake?nyundo ya uwajibikaji inapogongwa juu..madhara yake husemekana kwenda hadi chini.Sina uhakika kama kati ya waziri wa fedha na katibu wake pamoja na Balali yupi ni kinara!Lakini wote wana wajibu sawa wa kutokuwa madarakani hivi sasa.

Ndio uwajibikaji tunaoutaka wadau!Wananchi waelezwe kuwa hizo pesa sio za watu wengine bali ni za kwao.Kama mwizi akikuibia pesa unafanya nini?Nataka serikali iniambie kuwa mimi na wananchi wenzangu kama wadau tumeibiwa mabilioni na serikali yenyewe..sasa niende kushtaki wapi?Serikali inasimamia pesa za watanzania na mali zote..ok..ikituibia tukashtaki na dola iko mikononi mwao kuna usalama gani kwangu myanyaswaji?Vuguvugu la mabadiliko ya kweli linaanza.

Hivi majuzi tu Kardinali pengo alikeme ufisadi na kutaka uwakibikaji!Cha ajabu Lowassa alipopewa muda wa kuzungumza akasema"Watanzania wafanye kazi kwa bidii"Hivi ni kazi gani ya bidii waliyoifanya serikali yake katika kuiba hayo mamia ya mabilioni?Ama ni kazi gani ya bidii waliyoifanya kuwachukulia hatua watuhumiwa?Hatutaki kujichukulia sheria mikononi kama ambavyo wananchi wengi wamekuwa wakifanya wanapokamata wezi!isipokuwa wasipoonyesha kuwa wanachukua hatua then usishangae wananchi wakianza kuwachoma moto wao,nyumba zao na mali zao!

Hawa viongozi ni wa kuondolewa madarakani..this is too much!wanatuona sisi misukule?Na wapenda maendeleo na demokrasia kwa kushirikiana na wananchi..tutatoa shinikizo kwa serikali za magharibi kuwauliza viongozi wetu kwani ni wazi kuwa hawatusikilizi sisi wadau wa nchi!Kama mnaomba pesa kila mara kutoka kwenye nchi za magharibi then hayo mamia ya mabioni mliyogawana ndo yalikuwa hayana kazi?Pesa zilizoibiwa ni zaidi ya asilimia mbili ya bajeti ya Tanzania!halafu unataka kuniambia watanzania tukae kimya?

Unajua ni hospitali ngapi zingeweza kujengwa napesa hizo?shule ngapi?barabara ngapi?madaraja mangapi?magari mangapi ya wagonjwa ambayo yangeokoa maisha ya wagonjwa mahututi na mama wajawazito?madawa kiasi gani?Muda wa kuburuzwa na kufanywa
mbumbumbu umepita!Its waay too much!Wananchi waelimishwe kuwa mabadiko hayawezi kamwe kuanzia juu!Bali huanzia chini..wasijaribu kufikiri kuwa serikali ya CCM itawaletea mabadiliko!Mabadiliko ya kweli yataletwa na wananchi wenyewe kwa kuwatoa mafisadi madarakani na kuwapa madaraka viongozi wawajibikaji,wakweli,wenye kuelewa shida ya mtanzania wa kawaida,wenye kujua uongozi ni dhamana na sio fursa ya kujilimbikizia mali,kunyanyasa,na kujizatiti madarakani kwa kila hali,bali ni nafasi ya kuwasaidia wananchi,kuwaletea maendeleo ya kweli na kuwakwamua kuoka kwenye hali duni za maisha!

Uanzishwe mpango mzima wa viongozi wa upinzani na wananchi wote wapenda nchi yao..kuanzisha ziara maalum kwenda mikoani pote..especially sehemu zenye kuhitaji huduma muhimu za jamii.Hayo mamia ya mabilioni yarudishwe,viongozi wawajibishwe..na hayo mabilioni si ya akaunti za nje tena..bali za kuwajengea wao madaraja,kuwajengea wao hospitali,kuwajengea wao visima vya maji,kuwajengea wao shule,kuwajengea wao barabara!Sote pamoja tuidai serikali hizo pesa na mara baada ya kurudishwa zianza kufanya shughulu hizomara moja.
 
WAKATI watu wengi wakijitosa kuzungumzia kashfa ya ubadhirifu wa mabilioni ya shilingi katika Benki Kuu (BoT), Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, ameonekana kusita kuungana nao.

Mwinyi aliweka bayana msimamo wake huo, nyumbani kwake Mikocheni jijini Dar es Salaam juzi, muda mfupi tu baada ya kukamilika kwa hafla ya ufunguaji wa akaunti katika Benki ya NMB, kwa ajili ya michuano ya soka ya Kombe la Ali Hassan Mwinyi Orphans.

Rais huyo mstaafu ambaye alikuwa akijibu swali aliloulizwa na mwandishi wa gazeti hili, alisema ni mapema mno kwa sasa kueleza msimamo wake kuhusu jambo hilo na akaahidi kufanya hivyo wakati muafaka utakapowadia. "Suala la BoT… aahaaa…, siwezi kuzungumzia, ni mapema mno ………(kicheko), wakati ukifika nitalizungumzia," alisema rais huyo mstaafu huku akiingia nyumbani kwake.

Mwinyi anaweka bayana uamuzi wake huo ikiwa ni takriban wiki mbili sasa tangu Rais Jakaya Kikwete alipochukua uamuzi wa kutengua uteuzi wa aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu, Daudi Ballali, siku chache tu baada ya kupokea taarifa ya ukaguzi wa hesabu za taasisi hiyo nyeti, kazi iliyofanywa na Kampuni ya kimataifa ya Ernst & Young.

Ballali aliyeko nchini Marekani anakoaminika kuwa alikwenda kutibiwa tangu katikati ya mwaka jana, ndiye ofisa pekee wa juu wa serikali ambaye tayari amehusishwa kwa namna moja au nyingine na ufujaji wa shilingi bilioni 133, fedha za umma kupitia Akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje (EPA).

Mbali ya Ballali, viongozi wengine kadhaa wakiwamo Basil Mramba, aliyekuwa Waziri wa Fedha wakati fedha hizo zikichotwa mwaka 2005 na Gray Mgonja aliyekuwa Katibu Mkuu Hazina wakati huo, ni miongoni mwa viongozi ambao majina yao yanatajwatajwa kuwa miongoni mwa watu wanaostahili kuwajibika au kuwajibishwa kutokana na ubadhirifu huo.

Tangu Kikwete atoe uamuzi huo, kumekuwa na maoni tofauti kutoka kwa watu kadhaa binafsi na taasisi za kijamii na kidini zilizoeleza kushtushwa na kugundulika kwa ubadhirifu huo mkubwa wa kwanza kuwekwa hadharani hapa nchini. Katika hatua ya hivi karibuni, Mwenyekiti wa Chama cha siasa cha PPT-Maendeleo, Peter Mziray, ameitaka kamati iliyoteuliwa na Rais Kikwete, kuacha kufanya uchunguzi zaidi, na badala yake iwakamate viongozi wa taasisi za serikali, makampuni binafsi na wafanyabiashara ambao wametajwa katika ripoti ya Kampuni ya ukaguzi wa hesabu ya Ernst & Young kuhusika katika uchotaji wa fedha katika akaunti ya madeni ya nje (EPA).

Mziray aliyasema hayo jana alipokuwa anazungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO), jijini Dar es Salaam. Alisema kuwa kitendo cha wanasheria kuomba wapewe taarifa kutoka kwa wananchi ni kupoteza muda, kwani masuala mengi ya msingi ambayo yanaweza kutumika kama ushahidi mahakamani, yalishabainishwa na kampuni hiyo.

Alisema kilichotakiwa kwa timu hiyo ni kutafuta vielelezo zaidi kutokana na maelezo yaliyotolewa na Ernst & Young kama vile kutafuta kumbukumbu za makampuni hayo katika ofisi za wakala wa usajili wa makampuni - BRELA. Kwa upande mwingine, Mziray alisisitiza kuwa, anauona uhusiano wa kisayansi kati ya uchotaji wa fedha kutoka BoT na ushindi wa kishindo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005.

"Mwaka 2004 magazeti humu nchini yaliandika kwamba NEC ya CCM ilimwomba mwenyekiti wake wa wakati huo kuziongezea uwezo wa kifedha, magari na vitendea kazi ofisi za chama hicho nchini pote. Na baada ya muda mfupi, CCM ilimwaga magari ya kuzinufaisha ofisi za wilaya zote pamoja na kugawa kanga, fulana na kofia nchi nzima. Tunahoji walipata wapi pesa kwa muda huo mfupi?

"Mimi sioni lolote la kumpongeza Rais Kikwete eti kwa kutengua ajira ya aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu kwani ni sehemu ya utendaji wake," alisema. Alisema yeye ataridhika iwapo waliotajwa kuhusika na upoteaji wa fedha hizo wakichukuliwa hatua stahili kama vile kukamatwa na kuhojiwa, kwani ukiacha Dk. Ballali ambaye yupo nje ya nchi, wengi wa waliotajwa wamo humuhumu nchini.

Alisema kuwa bila ya jambo hili kuchukuliwa hatua kwa umakini, uamuzi wa kuzirejesha fedha hizo unaweza usitekelezeke. Aidha, Mziray alimtaka aliyekuwa waziri wa fedha wakati wizi huo ulipotokea, Basil Mramba, na Waziri wa Fedha wa sasa, Zakia Meghji, kujiuzulu, si kwa kuwa wanahusika na wizi huo, bali ili kulinda heshima zao.



h.sep3.gif

juu
blank.gif
blank.gif
amka2.gif
blank.gif
blank.gif
Habari Mpya | Kitaifa | Dar | Mikoani | Tahariri | Makala | Michezo | Matangazo | Webmaster
Copyright 2008 © FreeMedia Ltd. Free media limited
mtaa wa Mkwepu na Makunganya, jengo la Bilicanas, gorofa ya kwanza, SLP 15261, Dar es salaam, Tanzania
simu +255-22-2126233 • faksi +255-22-2126234 • Selula 0713 296570

Natumia nafasi hii kumjibu mheshimiwa Mziray.
Mawaziri hao wanantakiwa wajiuzulu!Na si tu kwa kulinda heshima..bali kuwajibika!Na pia naamini wamehusika.Ila nina mashaka kwasababu hata viongozi wetu wa upinzani wana kawoga flani hivi..maybe ni haki yao!Lakini kauli za kusema pesa zinaweza zisirudishwe ni za kukatisha tamaa!Tunataka tusikie kauli kuwa "PESA HIZI NI LAZIMA ZIRUDISHWE" na "VIONGOZI WALIOHUSIKA NI LAZIMA WAWAJIBISHWE"Hizo ndio kauli tunazotaka kuzisikia kutoka upinzani!
 
How does corruption affect your life? What can we do as individuals to fight it? How should we deal with those found guilty of corruption? Will we ever be free of it?

We have a saying that when the mother lamb eats the younger ones watch

"John, Freetown Sierra Leone"

The first step in the fight against corruption is to ensure that the process is enshrined in the constitution. All offenders should be made to face the full wrath of the law. It should start with the heads of government. In Nigeria we have a saying that when the mother lamb eats the younger ones watches.
"John, Freetown, Sierra Leone"

The war against corruption in Liberia can only be successfully fought if all corrupt office bearers are kicked out of government.
"Stephen G. Wonbenyakeh,Monrovia"


The only way to fight corruption is to name and shame those responsible and develop transparent systems of governance at all levels.
"Sonny,UK"

We should start by voting out the corrupt leaders

"Chris Munge, Kenya"

The fight against corruption should start from the grass root by voting out the corrupt leaders and also the trend of recycling leaders should stop, I believe there are more potential and development conscious leaders who have not been given a chance.
"Chris Munge, Kiambu, Kenya"


Start by bringing corrupt leaders past and present especially in to justice. If this does not send out a clear message to the rest of the population nothing will.
"Adebanjo, Nigeria / London"

The United Nations Organisation, should set up an international mechanism seriously to fight the phenomenon.
"Kasibante Moses, Uganda."

We cannot fight corruption when everyone sees it as a normal thing

"Veronica Kwabla, Accra "

Africa will only be free from corruption when sound economic, political and social measures are put in place to improve the quality of life of people. Corruption usually starts at home; what do you expect of children who are taught to show so-called appreciation for what is otherwise their fundamental human right when they grow up? We cannot fight corruption when everyone sees it as a normal thing.
"Veronica Kwabla, Accra, Ghana"

Corruption retards progress and makes its victims poorer every day. In order to combat it, those guilty of corrupt practices should be punished severely. We cannot be free of corruption but we can definitely minimize it.
"Chea Wesseh, Liberia"

We have heard so many African presidents talk about their zeal to crack corruption, yet when you look in their cabinet, you will certainly find ministers accused of corruption still enjoying the privileges of running government offices. How can they convince the people you they lead that they can fight corruption?
"Mazuba Mwiinga, Monze, Zambia"

You and I should play our part in uprooting corruption

"Yengi Desmond Tutu Soti, Uganda "

Source BBC (Your Comments)
 
Argentina unveils new rules to fight corruption


BUENOS AIRES, Argentina (Reuters) -- Argentine President Fernando de la Rua, striving to repair his reputation as a corruption fighter after a Senate bribery scandal, on Monday announced new rules to clean up political parties' financing.

Presenting a bill to cut state funding of the parties, restrict television advertising and ban anonymous donations, De la Rua said the bribery allegations must be "completely, totally and finally cleared up" if the Alliance government is to be credible in its struggle against corruption.

The new law is meant to make it harder for individuals or companies to channel money to politicians in hopes of influencing decisions.

"I will not abandon even for one minute my commitment to providing the moral leadership in the ethical recovery of the country," said De la Rua.

The new rules, which will be sent to a Congress where the government cannot always command a majority, impose a maximum expenditure by any political party of $1 per eligible voter for elections. There are 24 million people eligible to vote in Argentina, which has a total population of 36 million.

Political parties will not be allowed to take donations from unions, from groups linked to gambling, or from foreign countries and will have to make their accounts public. Parties will also have to select their presidential candidates in national primaries open to all voters who are not registered with other political groupings.

Violations will be punishable with prison sentences and fines.

Source: CNN
 
"Mwisho; ninaamini mabadiko yanawezekana..ila ni baada ya uwajibikaji.Ni kweli kwamba sisi wenyewe ndio wakujibadili.Lakini MADILU usisahau kuwa asilimia zaidi ya 80 ya watanzania wako vijijini ambako bado wanahitaji msaada wa hali ya juu;moja kuwahelimisha,kuwasaidia ili waweze kwanza kabisa haki zao,uraia wao, umuhimu wao,pia ni kuwaelimisha na kuwaonyesha ni kwajinsi gani umasikini wao, maradhi yao,magonjwa yao,ukame wao,uduni wao wa elimu,ukosefu wao wa maji na matibabu,kuwaonyesha direct link kati ya matatizo yao yote na maamuzi yao wanapokwenda kupiga kura!Wajue kwamba upigaji wao kura ndio hatua ya kwanza na hatua ya pili ni kufanya mabadilko na kutegemea mabadilko.Kwamba wanaweza kuwachagua viongozi wengine wanaoweza kufanya kazi ya kuwaondoa kwenye matatizo yao."

Tatizo haliko vijijini tatizo liko kila kona ya nchi.

Watu waishio Dar wameshindwa kufanya mageuzi ya kumchagua hata mbunge mmoja mwanamageuzi toka vyama vya upinzani.

Kama Dar nzima haina mbunge hata mmoja kutoka chama chochote cha upinzani, ni vipi uelewa mdogo wapewe wananchi wa vijijini tu?

Wananchi wote wa Dar, pia wana uelewa mdogo sawa na ule wa 80% ya walio vijijini hawajatuonyesha tofauti yeyote.

Elimu ya utambuzi wa haki za uraia itolewe nchi nzima iwe Dar au kijiji cha Kyabakari kule Musoma vijijini ili kuleta utambuzi wa nguvu ya wananchi ilojituliza kwa kila mmoja ikisubiri kutumiwa vyema.

Rushwa pengine inaonekana halali zaidi mbele ya wananchi wa Dar kuliko hata wale wa vijijini, kwa sbabu watu wa mijini wamezoea kuishi maisha ya ubabaishaji na pengine maisha nusu.

Kura zinaibiwa vizuri Dar kuliko kule vijijini.

Watu wa Dar ndo wepesi kutatua matatizo yao kwa kile wakiatacho Quick Fix kuliko wale wa vijijini.

Watu wa mijini wakilinganishwa na wale wa vijijini, hawana subira.

Wananchi wa vijini wanajua vema kufanya jambo sahihi wakati sahihi katika shughuli nzima za shamba. Wanaelewa wazi na kwa upeo mkubwa kwamba inachukua msimu mzima kusuburi mazao yakomae shambani.Natural Principle

Wanajua kusoma majira vema na nini cha kufanya katika majira hayo kwa usahihi mkubwa.

Kwa kuzingatia hilo yawezekana ni rahisi kumweleza mwananchi wa kijijini akaelewa vizuri kuhusu haki yake ya uraia kwa kutumia mifano ya mazingira aishiyo na majira mbali mbali ya mwaka na miongo na karne kuliko kumwelimisha mtu wa mjini,aliye zoea Quick Fix,juu ya somo hilo hilo.

Kwahiyo kama tunatambua kwamba Uwezo wa kuleta mageuzi u mabegani mwetu, ni vema kupiga hatua moja mbele na kutambua pia kwamba watu wa mijini vile vile wana matatizo makubwa ya utambuzi wa haki zao sawa na wale wa vijijini.

Ujanja wao wa usoni pengine ndo ufichao udhaifu wao.
 
"Mwisho; ninaamini mabadiko yanawezekana..ila ni baada ya uwajibikaji.Ni kweli kwamba sisi wenyewe ndio wakujibadili.Lakini MADILU usisahau kuwa asilimia zaidi ya 80 ya watanzania wako vijijini ambako bado wanahitaji msaada wa hali ya juu;moja kuwahelimisha,kuwasaidia ili waweze kwanza kabisa haki zao,uraia wao, umuhimu wao,pia ni kuwaelimisha na kuwaonyesha ni kwajinsi gani umasikini wao, maradhi yao,magonjwa yao,ukame wao,uduni wao wa elimu,ukosefu wao wa maji na matibabu,kuwaonyesha direct link kati ya matatizo yao yote na maamuzi yao wanapokwenda kupiga kura!Wajue kwamba upigaji wao kura ndio hatua ya kwanza na hatua ya pili ni kufanya mabadilko na kutegemea mabadilko.Kwamba wanaweza kuwachagua viongozi wengine wanaoweza kufanya kazi ya kuwaondoa kwenye matatizo yao."

Tatizo haliko vijijini tatizo liko kila kona ya nchi.

Watu waishio Dar wameshindwa kufanya mageuzi ya kumchagua hata mbunge mmoja mwanamageuzi toka vyama vya upinzani.

Kama Dar nzima haina mbunge hata mmoja kutoka chama chochote cha upinzani, ni vipi uelewa mdogo wapewe wananchi wa vijijini tu?

Wananchi wote wa Dar, pia wana uelewa mdogo sawa na ule wa 80% ya walio vijijini hawajatuonyesha tofauti yeyote.

Elimu ya utambuzi wa haki za uraia itolewe nchi nzima iwe Dar au kijiji cha Kyabakari kule Musoma vijijini ili kuleta utambuzi wa nguvu ya wananchi ilojituliza kwa kila mmoja ikisubiri kutumiwa vyema.

Rushwa pengine inaonekana halali zaidi mbele ya wananchi wa Dar kuliko hata wale wa vijijini, kwa sbabu watu wa mijini wamezoea kuishi maisha ya ubabaishaji na pengine maisha nusu.

Kura zinaibiwa vizuri Dar kuliko kule vijijini.

Watu wa Dar ndo wepesi kutatua matatizo yao kwa kile wakiatacho Quick Fix kuliko wale wa vijijini.

Watu wa mijini wakilinganishwa na wale wa vijijini, hawana subira.

Wananchi wa vijini wanajua vema kufanya jambo sahihi wakati sahihi katika shughuli nzima za shamba. Wanaelewa wazi na kwa upeo mkubwa kwamba inachukua msimu mzima kusuburi mazao yakomae shambani.Natural Principle

Wanajua kusoma majira vema na nini cha kufanya katika majira hayo kwa usahihi mkubwa.

Kwa kuzingatia hilo yawezekana ni rahisi kumweleza mwananchi wa kijijini akaelewa vizuri kuhusu haki yake ya uraia kwa kutumia mifano ya mazingira aishiyo na majira mbali mbali ya mwaka na miongo na karne kuliko kumwelimisha mtu wa mjini,aliye zoea Quick Fix,juu ya somo hilo hilo.

Kwahiyo kama tunatambua kwamba Uwezo wa kuleta mageuzi u mabegani mwetu, ni vema kupiga hatua moja mbele na kutambua pia kwamba watu wa mijini vile vile wana matatizo makubwa ya utambuzi wa haki zao sawa na wale wa vijijini.

Ujanja wao wa usoni pengine ndo ufichao udhaifu wao.
WATU WA MIJINI KUNA NAMNA NYINGINE YA KUONGEA NAO..KUMBUKA WENGI WAO NI CORRUPT!NDIO MAANA JIJI LINAITWA "BONGO"CORRUPTION NI KAMA FASHION NA JINA LENYEWE LINATUONYESHA HIVYO!NA UKUMBUKE KUWA WENGI WA HAO WAKAZI WA VIJIJINI WANAMIMINIKA KILA SIKU MIJINI NA JIJINI KUSAKA MAISHA BORA!WALISHACHOSHWA NA MAISHA YA VIJIJINI!HAWAWEZI KUAMINI KUWA SERIKALI ITAWASAIDIA ETI KWASABABU WAMEKUJA JIJINI!WATAJIULIZA KWANINI HAWAKUPATA HIYO MISAADA WALIPOKUWA UKO VIJIJINI?
 
kukomesha ufisadi na kuweka efficient serikalini,ile cabinet na kwenye kukusanya kodi jaza wazungu walipe mishahara ya Wall street wakufanyie kazi
 
Back
Top Bottom