Mbinu za kujikinga na NONDO za MBEYA

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,427
154,272
1. Nunua helmet ya pikipiki
2. Nunua wigi
3. Vaa helmet
4. Vaa wigi juu ya helmet.
5. Zunguka maeneo yote ya lsanga, lwambi, Nzovye, Simike, Nonde, Ghana kwa raha zako.
Ukipigwa nondo usianze kucheka utaharibu kinga yako
 
1. Nunua helmet ya pikipiki
2. Nunua wigi
3. Vaa helmet
4. Vaa wigi juu ya helmet.
5. Zunguka maeneo yote ya lsanga, lwambi, Nzovye, Simike, Nonde, Ghana kwa raha zako.
Ukipigwa nondo usianze kucheka utaharibu kinga yako
ukipigwa nondo za shingo utafanyeje? hilo wigi litasaidia?
 
Kuna mtu alisha jarib walimfunua helmet wakampiga nondo wakamvisha.
 
1. Nunua helmet ya pikipiki
2. Nunua wigi
3. Vaa helmet
4. Vaa wigi juu ya helmet.
5. Zunguka maeneo yote ya lsanga, lwambi, Nzovye, Simike, Nonde, Ghana kwa raha zako.
Ukipigwa nondo usianze kucheka utaharibu kinga yako
Bujibuji inakuwaje unajua mbinu zote?Unataka kutuambia nini?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom