Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,666
- 3,524
halafu tukificha atakayeathirika na uamuzi huo unafikiri ni nani?
nyie nyie, wengine tuna hormal changes monthly zinazotusaidia kucope na mazingira ya mwili. Hivyo basi mkificha mnajiathiri wenyewe na ndio maana mnaweza kuficha kila kitu isipokuwa uchi. Mkikosa binaadamu wa kike mtawaonyesha mbuzi, nguruwe na hata kuku, bisha!