Kwetu usukumani watu hualikana kwa zamu kulima shamba la kila mmoja.Ili kupeana motisha,watu hupewa pombe na nyama ya kutosha.Kule kwa wakurya watu hupewa nyama choma na BANGI ya kutosha kama motisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.