Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,645
- 155,015
Kajamaaa haka bwana, kameweza kumteka raisi na kumtumia kama ngao na silaha yake kwenye kulikamata soko la muziki na burudani.
Je ni nani atakaye mvisha paka kengele ili soko liwe huru, la haki na la ushindani?
Tofauti na sasa ambapo Ruge kwa kutumia radio yake amekuwa akiamua mwanamuziki wa kuwepo sokoni,, bila ya kujali kama ana uwezo ama a.
Je ni nani atakaye mvisha paka kengele ili soko liwe huru, la haki na la ushindani?
Tofauti na sasa ambapo Ruge kwa kutumia radio yake amekuwa akiamua mwanamuziki wa kuwepo sokoni,, bila ya kujali kama ana uwezo ama a.