Ata cjui ka nawezasana tu ila kama unataka unaweza
Ata cjui ka nawezasana tu ila kama unataka unaweza
Hapana nilisha jaribuHahaha hujataka kabsaa
Haaaaa,usiku full ushuzi unaweza pata tenda kwenye kiwanda cha perfume.Nilale nimekula kabichi tu jamani,,, siwezi, bora kuku na samaki
Kabisa na kama una mtungi wa gesi unganisha pipe mpaka asbh utakuwa umeujaza,tayari kwa matumizi ya nyumbani. Kila kitu kinafaidaNina wasiwasi hapo kwenye kunywa juice ya kabichi mana kuna watu matumbo yetu ni kamavkichekecheo.
Unywe halafu tumbo lijae gesi au livuruge shughuli yake utasimulia mana kama si kuharisha ni mwendo wa kuachia mashuzi tu.
UmeonaaNi kweli japo ngumu kutekeleza !
Kinachoangaliwa siyo umri bali Urefu wako....uzito wako no sharti uendane na urefu wako na si umriNina kilo zinaelekea 66, kwa umri wangu nadhani natakiwa niwe na kilo 50 hivi nadhani hiyo ya kuruka kamba itanisaidia kushuka, lakini mtoa mada unaweza ukafafanua kidogo mazoezi ya kupunguza tumbo ni kama yapi maana yako mengi nayo. Wewe unashauri yapi labda?
Natanguliza shukrani.
Kumbe?Kinachoangaliwa siyo umri bali Urefu wako....uzito wako no sharti uendane na urefu wako na si umri
Mimi nataka kuongeza uzito maana nna kilo 45 tu na huwa zinapungua mpaka 42
Mimi Mwanaume mkuuBaki na hizo hizo Kama Wewe ni wa Kike!Kimbau mbau nae Ana ladha yake!
Mimi Mwanaume mkuu
Body Mass Index(BMI) unachukua weight(kgs) divide by Height Square in Mita times 100 Recommend hapo ni 20-25% ikizid hapo au kupungua ni tatizo unatakiwa uwe katika hiyo rangeKinachoangaliwa siyo umri bali Urefu wako....uzito wako no sharti uendane na urefu wako na si umri