Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,832
Du kweli wanaume wakware mna mimbinu.
Je utafanyeje siku nyingine ukinogewa hadi kulala huko?
Njia ya muongo ni fupi wahenga walisema.
Je utafanyeje siku nyingine ukinogewa hadi kulala huko?
Njia ya muongo ni fupi wahenga walisema.
baada ya kazi za siku nzima, simon akaamua kupitia kwa bi mdogo (nyumba ndogo);
kwa uchovu na aliyoyapata kwa bi dada huyo yalimfanya kusahau kurudi nyumbani kwake........................asubuhi kashtuka katoka, akiw barabarani anawaza....achukue tax, daladala? And aelekee wapi......nyumbani?, mihangaikoni?...............
Ghafla akaona defender (tzr) ya police..........wazo likamjia, akalipiga mkono, bila hiana afande marwa (dereva) akasimama...........akasalimia kwa upole and akawauliza wakubwa mmeshapata chai ( bado) akawaeleza anaomba msaada...................
Mkewe kuona defender inapaki nnje ya mlango wake.....full presha...mumewe kashushwa na mbata matata....................neno la kwanza mumewe kusema ni mama justin tafadhali wape hawa jamaa elfu 30 haraka tafadhani.................mama watoto akakimbia ndani akatoa........................ndio pole mumewake (yeye)................akamwekea maji ya kuoga.............................na akamuadithia alikamatwa uzurulaji akiwa anarudi home!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!