Mbinu mpya kwa wenye nyumba ndogo

Smarter

JF-Expert Member
Nov 10, 2008
527
110
Baada ya Kazi za siku nzima, Simon akaamua kupitia kwa Bi Mdogo (Nyumba ndogo);

Kwa uchovu na aliyoyapata kwa bi dada huyo yalimfanya kusahau kurudi nyumbani kwake........................Asubuhi kashtuka katoka, akiw barabarani anawaza....achukue Tax, daladala? and aelekee wapi......Nyumbani?, Mihangaikoni?...............

Ghafla akaona Defender (TZR) ya POLICE..........Wazo likamjia, akalipiga mkono, Bila Hiana Afande Marwa (Dereva) akasimama...........akasalimia kwa upole and akawauliza wakubwa mmeshapata chai ( Bado) akawaeleza anaomba msaada...................

Mkewe kuona defender inapaki nnje ya mlango wake.....Full Presha...Mumewe kashushwa na mbata matata....................neno la kwanza mumewe kusema ni Mama Justin Tafadhali wape hawa jamaa elfu 30 haraka tafadhani.................mama watoto akakimbia ndani akatoa........................Ndio pole mumewake (yeye)................akamwekea maji ya kuoga.............................na akamuadithia alikamatwa uzurulaji akiwa anarudi home!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Baada ya Kazi za siku nzima, Simon akaamua kupitia kwa Bi Mdogo (Nyumba ndogo);

Kwa uchovu na aliyoyapata kwa bi dada huyo yalimfanya kusahau kurudi nyumbani kwake........................Asubuhi kashtuka katoka, akiw barabarani anawaza....achukue Tax, daladala? and aelekee wapi......Nyumbani?, Mihangaikoni?...............

Ghafla akaona Defender (TZR) ya POLICE..........Wazo likamjia, akalipiga mkono, Bila Hiana Afande Marwa (Dereva) akasimama...........akasalimia kwa upole and akawauliza wakubwa mmeshapata chai ( Bado) akawaeleza anaomba msaada...................

Mkewe kuona defender inapaki nnje ya mlango wake.....Full Presha...Mumewe kashushwa na mbata matata....................neno la kwanza mumewe kusema ni Mama Justin Tafadhali wape hawa jamaa elfu 30 haraka tafadhani.................mama watoto akakimbia ndani akatoa........................Ndio pole mumewake (yeye)................akamwekea maji ya kuoga.............................na akamuadithia alikamatwa uzurulaji akiwa anarudi home!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

kazi kweli kweli.
 
Do wewe umekuja na hili muda muafaka jana cjalala home, ngoja niwasake hawa jamaa na njaa zao watanipeleka tu!
 
Hii niliitimia 2006 nilikutana na mpenzi wangu wa zamani alietoka kusoma majuu sasa katika kupiga stori/laga/kukumbushia ikawa saa 9 usiku nikaona isiwe taabu tukalala hoteli asubuhi nikamshusha kwao nikaenda o/bay police na kumchukua askari rafiki yangu tukaenda home nikashuka na kumwambia mpenzi niliekuwa naishinae kuwa nilikamatwa jana usiku wanahisi gari hili ni la wizi waliniweka ndani nimefata faili la gari wakathibitishe na askari huyu anahakikisha sitoroki.
 
Baada ya Kazi za siku nzima, Simon akaamua kupitia kwa Bi Mdogo (Nyumba ndogo);

Kwa uchovu na aliyoyapata kwa bi dada huyo yalimfanya kusahau kurudi nyumbani kwake........................Asubuhi kashtuka katoka, akiw barabarani anawaza....achukue Tax, daladala? and aelekee wapi......Nyumbani?, Mihangaikoni?...............

Ghafla akaona Defender (TZR) ya POLICE..........Wazo likamjia, akalipiga mkono, Bila Hiana Afande Marwa (Dereva) akasimama...........akasalimia kwa upole and akawauliza wakubwa mmeshapata chai ( Bado) akawaeleza anaomba msaada...................

Mkewe kuona defender inapaki nnje ya mlango wake.....Full Presha...Mumewe kashushwa na mbata matata....................neno la kwanza mumewe kusema ni Mama Justin Tafadhali wape hawa jamaa elfu 30 haraka tafadhani.................mama watoto akakimbia ndani akatoa........................Ndio pole mumewake (yeye)................akamwekea maji ya kuoga.............................na akamuadithia alikamatwa uzurulaji akiwa anarudi home!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!



mwanawani hii si mchuzi kama si mchezo hebu na sie wanawake tupeni mbinu.
 
haya bwana, usanii mwingine ni wa kuchekesha tu watu hapa kuondoa mastress. but omba usikutane na Judith, mie niko level nyingine, sidanganyiki kirahisi hivyo
 
Duh kuna siku jirani alirudi na polisi maskini mkewe kumbe njema ililala kona:A S 39:
 
Back
Top Bottom