Umeuliza mbinu za propaganda na nitakupa moja kubwa kuliko zote..
Kwanza mtambue mpinzani wako vizuri..
Kama yuko juu yako mshushe hadhi yake chini mlingane au awe chini yako akisha fika ndio unaanza mapambano ..
Njia za kumshusha zipo nyingi kutokana na weakness zake au zinazojitokea..
Utauitumia udhaifu hup hata kama haupo au hauonekani kumshusha chin hadi yeye na wanaomtazama waaamini mapungufu hayo,kisha ndio unaanza mapambano.
Usipoweza kumshusha iwe kwa njia za kawaida,vijembe na kadhalika basi jua imekula kwako..Yeye kaweza kukushusha usihamaki subiri wakati mwingine....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.