Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
- Thread starter
- #101
Mimi kweli kama Kumsaidia Mke nitamsaidia, ila si aanze kusema ni Majukumu Yangu... Nitamchukia
ukiona unaanza kuumwa kisukari, shinikizo la damu. ugonjwa wa moyo au kiharusi....................jiulize kama umevinjwa hizi kanuni kumi na utakuta nyingi umezivunja na ndicho kiama chako.................na mke akishazoea vya kunyonga vyakuchinja hataka kusikia vagi lake siyo utani..........[MENTION]@RGforever[/MENTION]