Mbeya yachafuka polisi wapambana na wamachinga

arusha tulikuwa tuna msubiri dr dr dr dr dr dr kikwete kachomoa dakika za mwisho..sijui ataogoa arusha mpaka lini..safi sana wana-mbeya tuko pamoja kwenye kutafuta ukombozi zidi ya mafisadi

hahah,naona polisi wanaamua kutoa mazoezi ya kijeshi kwa raia! waendelee hivhivi ikifika muda wananchi watakuwa fiti sana...
 
Huyo Kandoro alifikiri hili jambo litakuwa jepesi kabisa, JWTZ imekuwa vita sasa! Kuna kipindi polisi wanapiga mabomu ya machozi mpaka wanaishiwa inabidi wakaombe JW sijui kama hili hlaitatukia Mbeya.
Kwani Jeshi wao watakuja na kitu gani zaidi dhidi ya wananchi amabacho hawajakitumia bado?Vifaru,AK47'S ama?

Kama ni idadi ya FFU ni ndogo,then wangejazia mgambo,polisi nk,jeshi la nini kama si kutangaza vita dhidi ya wananchi?

Tangu lini jeshi lilinde maslahi ya chama?
 
Hao JwTZ Kazi hawana? Kazi kuwaonea wananchi, hebu waende vitani kuwapiga al shabab. Na sio innocent citizen.
 
Zamani haya maboom tulikuwa tunayaona kwenye mechi tuu huko mbeya but sasa naona yapo tuu mwishoni tutayazoea sasa!
Angalia siku hizi wamezoea hadi watu wanamchekea polisi mwenye mbwa.

dnKisumuKPLC1403e.jpg
 
habari wana JF Kwa sasa nipo uyole hapa nashindwa kwenda mjini kifupi hali toka asubuhi ni mbaya kuliko hata mnavofikiri hadi sasa ni mwendo wa mabomu hakuna kupumzika na raia nao wapo hi hadi sasa kuna mauaji yameshafanyika .

Mkuu jitahidi kusaka ukweli ututhibitishie kuhusu mauaji!
 
Hii sasa imeungwa huku,ina maana JK haitaji ushauri wa kuanzia Arusha,Mbeya na nchi nzima kwa ujumla?Haya tusubiri tuone.
 
Inasemekana FFU na polisi wameshindwa kazi huko Mbeya na sasa wanaomba msaada wa jeshi,je hii inamaanisha serikali imetangaza vita dhidi ya wananchi?
dnKisumuKPLC1403e.jpg

Mbona huyu FFU mzee sana. Nilijua jeshini kama ukifika umri fulani haujapanda cheo basi wanakuomba ustaafu. Hizi kazi physical zinahitaji vijana, tena wale wasiokuwa na familia.
 
Du hii sasa imeshakuwa Bengazi lakini acha polisi watupe mazoezi ili siku ya siku tukilianzisha tusirudi nyuma,
Nauhakika zoezi hili Arusha tayari, Mwanza tayari, Mbeya ndio wanaendelea kukomaa, sina tatizo na Moshi
hata Dar napaaminia ingawa watu wanawasiwasi napo.

 
Du hii sasa imeshakuwa Bengazi lakini acha polisi watupe mazoezi ili siku ya siku tukilianzisha tusirudi nyuma,
Nauhakika zoezi hili Arusha tayari, Mwanza tayari, Mbeya ndio wanaendelea kukomaa, sina tatizo na Moshi
hata Dar napaaminia ingawa watu wanawasiwasi napo.

Wameamuwa,si unaona watoto wako na chupa zao za maji za kuwasaidia dhidi ya mabomu ya machozi?na kina mama pia?Mazoezi wanayo hawa tayari.Shida ya maisha na unyanyasaji havivumiliki bana...Hawa wanataka ukombozi.Its obvious,even a cave man can figure this one out!
 
Back
Top Bottom