mkuu una kumbukumbu safi niliwahi kukaa nzovwe miaka ya 80 hayo uliyoeleza yalikuepo,kuna visa vingi sana niliviona,km mvua ikinyesha tulijipanga barabarani hapo nzovwe ilikua lazima ajali itokee,pia kulikua na kundi la washkaji zake jombi kina kibo nao walikua mtata,wababe huo mkoa usiulize sikumoja mdogo wao kibo alimninginiza mwanae nzovwe sokoni kataka kumchinja live mbele ya umati wa watu,fununu zikaja kwamba ndio alikua mkuu wa wachinjaji na wachunaji forest,mara ya mwisho nasikia kibo mwingine alitaka kulipua hicho kitongoji nzovwe kwa bomu akaghairi akajiua mwenyewe,na jombi alikuja kamatwa itigi huko kwa oda ya rais baada ya kupora mbeya,huko kote umetaja umesahau nzovwe mkuu pale ndo ilikua kitongoji cha uharamia,ukikusanya watoto wa sokolo,mbembela,kalongoti*hatari zaidi*,kibo,mwamwaja,tunyande,kina chande na jairo,yani ilikua baraa,jombi wafuasi wake wote alitoa nzovwe na walikua watu wa kazi kweli,lakini sidhani kama kuna mmojawapo aliishia pazuri
Kama unataka kujua Mwandosya amefanya nini kwao uliza wanaotoka hukoKuwafananisha Nsekela na Mwaikambo na hawa wa leo akina Mwandosya na Mwakyusa ni sawa na kufananisha mlima Kilimanjaro na kichuguu!!! Hawa wa leo wamejaa ubinafsi tu!!
MwambebuleMwakatobe
Mwakalinga
Mwalulili
Mwaikambo
Mwailolo
Mwakyusa
Mwaisaka
Mwandemani
Mwakatumbula
Mwa....Mwa....Mwa....Mwa....etc
sasa JOMBI ALIFUNGWA , YUko hai ama ? hii stori ya Jombi imeniacha kinywa waziJombi alikuwa ni jambazi maarufu zambia na tanzania akiteka magari, kupora magari na mali za watu.Alikuwa akitoa taarifa kabla hajafanya uhalifu wake. Wazungu wa Denmark waliokuwa wakifadhili mradi wa maji danida walikatisha msaada wao baada ya Jombi kuua na kubaka mke wa mkurugenzi wa mradi huo. Mkapa akatoa amri kuwa jombi akamatwe. Vikosi maalum ndio vilivyoenda kumkamata jombi
Kweli aisee........maana....wee acha tu nidhamu hii sijapata ona.......
Kinachonishinda kuelewa.....pamoja na Mkoa ule kujaaliwa na wasomi weengi sana......wengi sana wako nje ya nchi.......na wanafahamu sana kwao kulivyo na kila kitu i.e. potentials za kiuchumi......lakini.....lakini.....hawana hata WEBSITE.......
Mijitu kama akina Mwandosya, Mwakalinga, Mwakyusa, Lole ipo ipo tu (joke)........ubinafsi umewazidi na mawivu yasiyokuwa na maendeleo yamewajaa....mke wangu ananisimulia kuwa akina Marehemu Nsekela na Mwaikambo walifanya mengi....sasa sijui hii mijitu mingine inafanya nini
Ha ha ha haaaa!!
Mkuu umeniweza, lakini ukifika karibu na mkoa wa Mbeya sikiliza Mbeya Highlands FM 92.7Mhz. Inasikika mkoa mzima.
Siku hizi mambo kimya kimya.
sasa JOMBI ALIFUNGWA , YUko hai ama ? hii stori ya Jombi imeniacha kinywa wazi
-beach nzuri mbeya matema beach...
-wasanii wengi ukiacha waimbaji wa nyimbo za injili wanatoka mbeya au walikulia mbeya
-wachezaji wengi wmaarufu wa mpira wapo mbeya
-makaa ya mawe mbeya
-daraja la mungu la ajabu mbeya kiwira
-ziwa la ajabu la mviringo lipo mlimani mbeya
-kahawa mbeya
-watu wenye nguvu