Mbeya kwarindima kwa Mabomu, risasi!

nilishasema na narudia kusema tena arusha,mbeya,mwanza,kagera na shinyanga ndo benghazi,tunisia,tripoli,alexandria na cairo za bongo na sitegemei kingine zaidi ya mikoa hii kuikomboa tanganyika

vipi musoma(mara)?
 
Wadau risasi na mabomu yanarindima mwanjelwa mbeya kati ya polisi na vijana. Barabara ya kibiashara ilifungwa. Ni hatari

Asante kwa habari mkuu..
Ujumbe umefika na tayari kila kitu kimeshaanza kufanyiwa kazi.
 
We are deeply sorry for what is happening, hata hivyo mabadiliko huja na madhara yake. Mimi nina furaha si kwasababu watu wanakufa ama magari yanachomwa moto, nina furaha kwasababu watanzania wanaamka na kudai haki zao kwa nguvu maana tusitarajie kabisa hawa Mabazazi wa CCM kutupa uhuru wetu tukiwa tumekaa.

Mapambano yataendelea, tutumie sayansi zaidi kuliko nguvu. Hii inaweza kutusaidia kupunguza vifo na majeruhi kwa kiasi kikubwa, nitakupeni mfano rahisi. Polisi ni wachache sana, ni waoga sana kushuka kwenye hayo ma-defender... tengenezeni mbao fupi-fupi zenye misumari mingi kisha mnazitupa chini ya ma-defender wakati yanawapita, tairi zitapasuka na defender litapiga chini ama lazima litasimama... likisima hao askari hawataenda popote maana wanajua kitachowasibu. Likifanikiwa msiwapige mawe maana hao wanaamrishwa, wapigeni kwa mayai, kinyesi na vitu vingine vingi vya kuudhi... hakuna askari atakayeumia sana isipokuwa itakuwa aibu kubwa na Polisi watatumia akili zaidi ya nguvu za sasa. Kisaikolojia mtapata nguvu na kugundua sisi (Umma) tuna nguvu kuliko wao, mapambano yaendelee..!
 
acha wadai haki zao maana wanyonge hawa wananyanyasika tanzania nzima utazani walipenda kufanya shughuli hiyo ngumu.Maisha tu ndo yanawafanya wafanye hivyo ila serekali badala ya kuwapa support inawaharibia.sijui lini kipato cha mnyonge kitakuwa.


Haki ya kufanya biashara maeneo ambayo hayajatengwa kwa ajili hiyo?
 
Duuuh! Ndiyo faida ya kutawala pasi ridhaa ya watawaliwa. Nadhani huko tuendako Libiya itakuwa cha mtoto! Make taratibu watanzani wanajengeka ujasili wa ajabu na ipo siku hata hao polisi watasema basi. Kwani hata hao polisi wana maisha magumu kweli kweli! na wahitaji sana ukombozi.
 
Miji yenye mwamko kama Arusha wanakata umeme ili wakereketwa wasipate habari kwa haraka, hii haisaidii chochote. Mimi niko Arusha kwa sasa na habari zishaenea vya kutosha kabisa, mapambano yataendelea kama kawaida mpaka CCM waingize tails kwenye masaburi maana wananchi wameshawachoka. Wananchi wamejulishwa ufedhuli wa serikali ya kikoloni ya CCM kwahiyo sasa wakifanya chochote kisichoeleweka au chenye chembe ya udanganyifu watanzania wanajibu kwa hasira za kutosha. Tunawashukuru sana waliotuamsha na kutujuza kilichokuwa kinafanyika.
 
Kuanzia saa mbili hivi leo mpaka hivi ninavyoripoti hapa Mji wa Mbeya unarindima mfululizo wa milipuko ya mabomu ya machozi, yanayopigwa huko na huko, kuwatawanya machinga sehemu inaitwa Mwanjelwa........ Mungu ihurumie Tanzania.
 
UDSM nako kuna mapambano kati ya polisi na wanafunzi wa chuo kikuu cha DSM.
 
Duuuh! Ndiyo faida ya kutawala pasi ridhaa ya watawaliwa. Nadhani huko tuendako Libiya itakuwa cha mtoto! Make taratibu watanzani wanajengeka ujasili wa ajabu na ipo siku hata hao polisi watasema basi. Kwani hata hao polisi wana maisha magumu kweli kweli! na wahitaji sana ukombozi.

Kama sitakuwa nimekosea Polisi wa Syria wameungana na upinzani maana wameona wanachofanyiwa raia sio sahihi. Serikali ya Syria inaelekea ukingoni, polisi wetu wana maisha magumu kuliko polisi wa Syria kwa kiasi ambacho huwezi kulinganisha hata kidogo. Watayafanya haya kwa muda mfupi sana, huku nyuma ya pazia wenyewe wanatuhamasisha tupambane... watarudi upande wetu muda si mrefu tusiporudi nyuma.
 
Back
Top Bottom