Mbeya kwarindima kwa Mabomu, risasi!

Tatizo ni kuwa serikali inaendelea kupiga siasa kwenye masuala yasiyohitaji siasa. Hawo machinga wa Mwanjelwa walihitaji kushughuikiwa sehemu ya kufanyia biashara siku nyingi sana. lakini wameendelea kuzungushwa mpaka sasa hawamwamini kiongozi yeyote wa serikali.

Watu wanaposema tatizo la machinga ni kubwa, viongozi wa serikali wanaona kama utani hivi. Ipo siku hawa machinga wakiamua wanaweza kuiangusha serikali
 
Mitaa ya Mwanjelwa soweto na mafiati haikaliki baada ya FFU kurusha mabomu ya kutoa machozi ili kusambaratisha vijana walioziba baadhi ya barabara za mitaa!
 
1.moto mkubwa huwashwa na moto mdogo
2.bahati mbaya utokana na makusudi
kama tunajipenda ni lazima tuchukue hatua sahihi
 
Nasikia kuna gari la halmashauri limechomwa.

ilikua vita ya wamachinga na Polisi, mwishowe imegeuka vita ya Mbeya Nzima.

Gari za Tunduma Dar zimerudi Tunduma No Safari.

Mabomu ya machozi mtindo mmoja.
 
Hivi nchi hii hakuna kiongozi mwenye akili ya kutatua migogoro bila mabomu??

in atia huruma sana.

Na sasa hivi wanajadili kupitisha sheria ya kununua bunduki used na maji washawasha used!!! damn!!
 
Nadhanh magamba wamelewa madaraka na hela za wizi wakati ni sasa mtatoka tu baada yakutambua mlichokosea
 
Nasikia kuna gari la halmashauri limechomwa.

ilikua vita ya wamachinga na Polisi, mwishowe imegeuka vita ya Mbeya Nzima.

Gari za Tunduma Dar zimerudi Tunduma No Safari.

Mabomu ya machozi mtindo mmoja.

Asante kwa taarifa mkuu!
 
Tatizo ni kuwa serikali inaendelea kupiga siasa kwenye masuala yasiyohitaji siasa. Hawo machinga wa Mwanjelwa walihitaji kushughuikiwa sehemu ya kufanyia biashara siku nyingi sana.

Lakini wameendelea kuzungushwa mpaka sasa hawamwamini kiongozi yeyote wa serikali. watu wanaposema tatizo la machinga ni kubwa, viongozi wa serikali wanaona kama utani hivi. Ipo siku hawa machinga wakiamua wanaweza kuiangusha serikali

Ni kweli kabisa mkuu! Sasa sijui serikali haina maafisa mipango wa jiji wala wilaya! Au niseme manispaa ya jiji ya mbeya haitozi kodi kwa hawa wamachinga au ndo kusema kuwa kwa vile Mh.mbuge anatoka Chama cha upinzani basi wanajaribu kuonyesha kila aina ya hila kumchonganisha na wananchi wa mbeya.

Hivi ndiyo vitu vinavyotufanya tuendelee kupiga kelele kutungwa kwa katiba mpya ili viongozi wa serikali wawwe wanawajibika kwa wananchi siyo kwa chama.
 
serikali ya tz imefilisika tn viongozi ndio wameifilisi bado wanaonea wananch wanaojitaftia riziki kwanini fujo zisitokee
 
much respect mwanjelwa jk anapajua hapo walimtukana matusi hadi aibu mby city stand up
 
Na mwezi uliopita madiwani wa Chadema wakiongozwa na Sugu kipenzi cha vijana hapa mbeya walitoka nje ya kikao cha madiwani na mkurugenzi mana hawasikilizwi hata kidogo.

Madiwani wa CCM na kumrugenzi wao wanajiamulia wanavyotaka, na ndipo Chadema wakatoka nje na kususia kikao na kwenda kushtaki kwa wananchi baada ya kufanya mikutano mitatu ikiongozwa na Sugu.

Mikutano ilifanywa NZovwe, Meta, na Mbalizi, sasa matokeo yake ndiyo haya.
 
Back
Top Bottom