· Imekuwa ni kawaida ya askari wa jiji kuvamia na kupora bidhaa za machinga.
· Hawazipeleki popote zaidi ya kugawana askari wenyewe.
· Masoko yanaungua kila siku na machinga wanaishiwa mitaji, kuanza upya lazima urudi kwenye uchuuzi wa mitaani.
· Serikali haijawahi kufikiri kutenga eneo maalum kwa ajili ya watu hawa.
· Mtaji mdogo waliopata kupitia mfuko wa Mbunge wao Joseph Mbilinyi ndio huo unaporwa na askari wa jiji.
· Watu hawa kwa sasa hawana uwezo wa kukodi chumba cha biashara, kwa hiyo uwezo wao ni kupanga bidhaa zao pembeni ya masoko ambako ndipo walifuatwa
· Zile ajira za JK zimeota mbawa na kila mtu anakwenda ki vyake
· Zile fedha za JK zimeishia mikononi mwa bank officers and mashwahiba wao ambao hawajui jirani anaishije.
· KUNA FAIDA GANI YA KUISHI SASA? Hili ndo swali walilojiuliza wanadamu hawa.
· Ok, kama ni kufa nifeje sasa? SINA CHA KUPOTEZA HAPA DUNIANI. Ni heri nife nikipigania maisha maana HISTORIA ITAANDIKWA.
· RIP kwa wanamapinduzi waliopoteza maisha hapo jana, Get well soon kwa wapiganaji waliopo hospitali ya rufaa Mbeya. Makovu ya risasi mlizopigwa yatakuwa ni ushahidi siku moja dhadi ya udhalimu huu.
· Machozi wanayomwaga wakina mama juu ya watoto wao na waume zao na yatue ardhini yachipushe mwanzo mpya wa Tanzania iliyo huru.
· Mungu na awabariki wana mapinduzi - AMEN
· Hawazipeleki popote zaidi ya kugawana askari wenyewe.
· Masoko yanaungua kila siku na machinga wanaishiwa mitaji, kuanza upya lazima urudi kwenye uchuuzi wa mitaani.
· Serikali haijawahi kufikiri kutenga eneo maalum kwa ajili ya watu hawa.
· Mtaji mdogo waliopata kupitia mfuko wa Mbunge wao Joseph Mbilinyi ndio huo unaporwa na askari wa jiji.
· Watu hawa kwa sasa hawana uwezo wa kukodi chumba cha biashara, kwa hiyo uwezo wao ni kupanga bidhaa zao pembeni ya masoko ambako ndipo walifuatwa
- Wakaja tena wakatupora, sisi tukakimbia kwa kuogopa faini mahakamani maana hatuna cha kulipwa
- Wakarudi tena, na tena na tena........
- tena wanasubiri tarehe mbaya kwao, ili wapate cha kuwapelekea wake zao nyumbani. Wake zao wawasikie na kuwazawadia.. kwa kujali familia.
- Wamesahau kuna Mungu anyeona dhuluma hii
- Safari hii wamekuja, tena kwa agizo la Kiranja wao mpya.
- amesema ukiendesha mkokoteni jijini ni kosa, ni uchafu, ukitembeza rangi za kucha ni dhambi na bidhaa zote
- Eti ni sawa na yule anayeuza bangi.
- SASA tukasema IMETOSHA. Kama noma na iwe noma.
- MUNGU wetu na ashuke kutupigania.
- Hii ni vita isiyoisha mpaka kieleweka.
- Wao wana bunduki, mabomu, magari ya upupu. Sisi tuna Mungu wetu aliye hai
· Zile ajira za JK zimeota mbawa na kila mtu anakwenda ki vyake
· Zile fedha za JK zimeishia mikononi mwa bank officers and mashwahiba wao ambao hawajui jirani anaishije.
· KUNA FAIDA GANI YA KUISHI SASA? Hili ndo swali walilojiuliza wanadamu hawa.
· Ok, kama ni kufa nifeje sasa? SINA CHA KUPOTEZA HAPA DUNIANI. Ni heri nife nikipigania maisha maana HISTORIA ITAANDIKWA.
· RIP kwa wanamapinduzi waliopoteza maisha hapo jana, Get well soon kwa wapiganaji waliopo hospitali ya rufaa Mbeya. Makovu ya risasi mlizopigwa yatakuwa ni ushahidi siku moja dhadi ya udhalimu huu.
· Machozi wanayomwaga wakina mama juu ya watoto wao na waume zao na yatue ardhini yachipushe mwanzo mpya wa Tanzania iliyo huru.
· Mungu na awabariki wana mapinduzi - AMEN