Siku moja nilibanwa kiasi kwamba ilikuwa ni lazima nilale ktk Hotel moja pale Mwanjelwa, nilitonywa na dogo moja wa jikoni kwenye supu kuwa pale kuna mijizi nijihadhari.
Nikatumia mm za jeshini, nguo na mizigo yote nikaingiza uvunguni mwa kitanda na kitanda chenyewe nikabana mlangoni. Kuamka asubuhi, chumba cha pili jamaa ana-rap kilugha,yaani wahuni wameshafanya vitu vyao. Take care.
Nikatumia mm za jeshini, nguo na mizigo yote nikaingiza uvunguni mwa kitanda na kitanda chenyewe nikabana mlangoni. Kuamka asubuhi, chumba cha pili jamaa ana-rap kilugha,yaani wahuni wameshafanya vitu vyao. Take care.