Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
Kinamama hawa waliamua kujitosa majini wakati wakitoka na wengine kuingia kupata huduma ya kliniki kwenye Zahanati hiyo.
WATU mbalimbali waliohitaji kuingia na kutoka katika Zahanati ya Mwenge jijini Dar es Salaam, jana walilazimika kupita kwenye dimbwi kubwa la maji machafu yaliyokuwa yametuama kwenye mlango wa kuingilia Zahanati hiyo kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha