Mm,hii kali.Katika research zangu niliwahi kupitia taarifa kwamba demons wanapenda kula mbegu za kiume, nikadhani ni habari isiyo na ukweli.Kumbe ni kweli, duh leo nimekumbana nayo live!Sina shaka yeyote kwamba you practise oral sex, and that you are demon possesed.
Nakupa ushauri wa bure.Tafuta kanisa linalomuamini Mungu wa kweli uombewe mapepo yanayokufanya upende oral sex yatakutoka, na utaondokana na tabia hiyo mbaya na ya kishetani.
Nakupa ushauri wa bure.Tafuta kanisa linalomuamini Mungu wa kweli uombewe mapepo yanayokufanya upende oral sex yatakutoka, na utaondokana na tabia hiyo mbaya na ya kishetani.
Habari wanaJF? nitangulize shukran zangu kwa wanajamvi wote kwa michango yenu yenye kuelimisha sana.
Kwangu mimi JF ni zaidi ya darasa tena la bure kbs...
Ok mi naomba kusaidia kujua madhara/na faida atakazopata mtu atakayemeza mbegu za kiume.