Mbegu za kiume zina athari kwa mtoto tumboni?

GreenCity

JF-Expert Member
May 28, 2012
5,620
4,265
Kuna usemi kwamba, mama mjamzito anapofanya mapenzi bila kinga na kuruhusu mbegu za kiume kuingia, husababisha mtoto kuzaliwa na elements za manii hasa maeneo ya kichwa(kama mba)! Kama ni kweli, je kuna athari kiafya kwa mtoto!
 
Hakuna athari yeyote kwa mama au mtoto....... Hizo sperms kwanza haziwezi kumfikia mtoto hata kidogo, ni uzushi wa mitaani tuu
 
Kuna ndugu yetu mmoja wa kiume alikuja kutembea Ushongo
akamwacha mke wake shambani. Mke wake alikua ni mjamzito.
Then zilipofika siku za mwisho za uzito huo, akasema anarudi
Mama akamwambia: go wasy on her, si unajua siku za mwisho?

Yeye akajibu: hivi ndio naenda kuweka nywele na kucha sasa
Mi nikashangaa, ila nilikuja kuelewa baadae sana what he meant:
Mtoto haingii kwa siku moja. Mwanzo unaweka kichwa na kifua
Ukiendelea ku-do unaweka mikono na miguu, pua, vidole, sikio
and mwisho kabisa unamalizia kwa nywele kucha sasa (accessories)

Maybe not in that order, but that was the idea he has...nilishangaa
This, from an anthropological point of view has a strong symbolism:
It is the relation that your father has to your mother that makes you
If your father and your mother don't "get along" you wouldn't be.
 
zinamrutubisha sana mtoto ..keep it up endeleeeaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Kuna ndugu yetu mmoja wa kiume alikuja kutembea Ushongo
akamwacha mke wake shambani. Mke wake alikua ni mjamzito.
Then zilipofika siku za mwisho za uzito huo, akasema anarudi
Mama akamwambia: go wasy on her, si unajua siku za mwisho?

Yeye akajibu: hivi ndio naenda kuweka nywele na kucha sasa
Mi nikashangaa, ila nilikuja kuelewa baadae sana what he meant:
Mtoto haingii kwa siku moja. Mwanzo unaweka kichwa na kifua
Ukiendelea ku-do unaweka mikono na miguu, pua, vidole, sikio
and mwisho kabisa unamalizia kwa nywele kucha sasa (accessories)

Maybe not in that order, but that was the idea he has...nilishangaa
This, from an anthropological point of view has a strong symbolism:
It is the relation that your father has to your mother that makes you
If your father and your mother don't "get along" you wouldn't be.

nilijua tu we lazima utupie kituko hapa!
 
Mtoto anakuwa kwenye mfuko wake maalumu, ambao una maji (amniotic fluid) kwa ajili ya kumkinga physically. Sperms zikiingia ukeni hazina pa kuzunguka zinarudi. Huo mfuko wa mtoto ndio hupasuka na maji yote kumwagika mara uchungu unapoanza. Na mfuko hutola kama kondo la nyuma. Hivyo baba wewe mfanyishe mkeo mazoezi kwa raha zenu.
 
Mtoto anakuwa kwenye mfuko wake maalumu, ambao una maji (amniotic fluid) kwa ajili ya kumkinga physically. Sperms zikiingia ukeni hazina pa kuzunguka zinarudi. Huo mfuko wa mtoto ndio hupasuka na maji yote kumwagika mara uchungu unapoanza. Na mfuko hutola kama kondo la nyuma. Hivyo baba wewe mfanyishe mkeo mazoezi kwa raha zenu.

afu nawe na mambo yako ya baioroji...ukimkandamiza maiwaifu lazima magundi yanakaa kwenye kichwa cha mtoto ..we unadhani watu wenye vipara vinakuja kwa ajili gani..si ni mashahawa hayo ooohh
 
afu nawe na mambo yako ya baioroji...ukimkandamiza maiwaifu lazima magundi yanakaa kwenye kichwa cha mtoto ..we unadhani watu wenye vipara vinakuja kwa ajili gani..si ni mashahawa hayo ooohh

Leo tutashuhudia uvumbuzi wa Bailoji mpya kabisa
 
Daktari aliniambia nijitahidi kila siku hasa zile siku za mwisho inasaidia kutanua njia, hii habari ya kusema mara katoka na condom kichwani ni uongo mtupu
 
mara ya kwanza nlipoona ID yako si nkajua, wewe na mambo ya aina hii bado upo gizani kumbe i waz wrong! Posts zako duuuuuu!!!!!
Hapo unanisemea uongo mchana kweupe.
Leta ushahidi wa picha na link au retract plz
Ngoja niite ndugu zangu wakusute sasa hivi
Uncle kaize na Anti AshaDii, please help
Huyu mtu ana-doubt u-mwali wangu naona
Kongosho, njoo umwambie mi nipo gizani
Hiyo taa nilionea wapi? aliniwashia yeye sasa?
Ambitious, my roommate, you are a witness
Usha niona nikija na mtu hapo home in a year?
 
Hapo unanisemea uongo mchana kweupe.
Leta ushahidi wa picha na link au retract plz
Ngoja niite ndugu zangu wakusute sasa hivi
Uncle kaize na Anti AshaDii, please help
Huyu mtu ana-doubt u-mwali wangu naona
Kongosho, njoo umwambie mi nipo gizani
Hiyo taa nilionea wapi? aliniwashia yeye sasa?
Ambitious, my roommate, you are a witness
Usha niona nikija na mtu hapo home in a year?

Niliyemuona akiingia ni shosti wako Erotica tu ila mwingine katu sijawahi kuona ni mimi na wewe tu.
 
Last edited by a moderator:
Hapo unanisemea uongo mchana kweupe.
Leta ushahidi wa picha na link au retract plz
Ngoja niite ndugu zangu wakusute sasa hivi
Uncle kaize na Anti AshaDii, please help
Huyu mtu ana-doubt u-mwali wangu naona
Kongosho, njoo umwambie mi nipo gizani
Hiyo taa nilionea wapi? aliniwashia yeye sasa?
Ambitious, my roommate, you are a witness
Usha niona nikija na mtu hapo home in a year?
Jamani Mwali hili sio jukwaa la kusutana, msamehe bure.
 
Last edited by a moderator:
Hapo unanisemea uongo mchana kweupe.
Leta ushahidi wa picha na link au retract plz
Ngoja niite ndugu zangu wakusute sasa hivi
Uncle kaize na Anti AshaDii, please help
Huyu mtu ana-doubt u-mwali wangu naona
Kongosho, njoo umwambie mi nipo gizani
Hiyo taa nilionea wapi? aliniwashia yeye sasa?
Ambitious, my roommate, you are a witness
Usha niona nikija na mtu hapo home in a year?

haya sasa! Yan kama hawa ndo mashahidi wako basi ni noummeeer! Manake KONGOSHO ni well matured, KAIZA as well, na huyo alietajwa "EROTICA" kuingia room kwako Ndo mwili wangu umepata ganzi kabisaaa! Manake ni mwalimu wa ROMANCE huyo! Nadhan lazima wamekutoa gizani hao!
 
Back
Top Bottom