CHIHAYA
Senior Member
- Mar 12, 2012
- 102
- 25
Wadau na madaktari nisaidieni katika hili maana naweza kujiona niko normal kumbe ni abnormalities. Huwa ninatoa manii zikiwa nzito zimeganda wakati wa mechi na huwa zinatoka kwa speed ndogo kama makamasi tofauti na nionavyo kwenye mikanda ya pono. Je? Hii ni kawaida jamani?