wanabodi,
naitaji msaada wenu jinsi ya kutengeneza mbege nzuri..
yoyote mwenye kujua naomba anielekeze jinsi maandalizi yake na vifaa gani vinavyotakiwa.
Nipeni maujanja ya kutengeneza mbege wana jf.
1. uwe na ulezi (maandalizi yake nitakupa ukitaka)
2. uwe na ndizi mbivu (maandalizi yake nitakupa ukitaka)
3. pipa (mongutonyi), kata (kipata)
4. kuni
5. msesewe
6. maji (haijalishi ni safi au ni salama)
ukitaka maandalizi nitakupa kesho mida hii nawahi daladala.
View attachment 46358Umenikumbusha hii kitu ritz! Nimeimiss sana!!
View attachment 46358Umenikumbusha hii kitu ritz! Nimeimiss sana!!
Ntakupeleka kwa mama Judy ukajifunze from the best. Vipi unataka kuanzisha biashara?
View attachment 46358Umenikumbusha hii kitu ritz! Nimeimiss sana!!
Lizzy,
Si unajua tena mambo ya uwekezaji wa ndani.
mama judy wa ngaramtoni, sakina au wa kwa mrombo ?
hahahah...inahusika sana!! mi napenda ile tamu ambayo ni fresh iliyotengenezwa siku hiyo hiyo!Rej hii sio fresh kabisa. Ndio nini kunifanya nitamani kulamba screen ya hiki kitochi changu?
hii made in Moshi/Arusha!! Dar vitu kama hivi uvipati!!Duu! Huu mzigo wa wapi?