BADO MMOJA
JF-Expert Member
- Jul 19, 2012
- 2,196
- 1,338
Wana JF naomba mnifahamishe mnamo mwaka 2005 mjini mwanza kuna bwana mmoja alitaka kumwangusha Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete baada ya kufanikiwa kuizuga security system iliyokuwepo pale.Swali langu kwa yeyote anafahamu mtu huyu alishtakiwa Mahakama gani na hatima ya hiyo kesi ilikuwaje.
Nawaslisha
Nawaslisha