Chilipamwao
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 523
- 128
Katika mambo mbalimbali kuna ukweli wa aina mbili TRUTH na FACT. Kwa Mbatia Truth ni kwamba si mpinzani ila Fact ni mpinzani. Vyama tawala hasa nchi za ulimwengu wa tatu huweka vyama mamluki na kuweka viongozi kama mbatia kwa kazi maalum.
Mbatia alipishana na misimamo mingi ya Kafulila ambayo kila mtu ama aliyeisikia ama kuiona katika Televisheni atakubaliana nami kuwa ina-reflect mpinzani halisi.
Rai yangu ni kila anayetaka CCM iondoke madarakani 2015 ni muhimu tumwonyeshe Mbatia kuwa tunampuuza na tunamjua kuwa ni mamluki.
Mbatia alipishana na misimamo mingi ya Kafulila ambayo kila mtu ama aliyeisikia ama kuiona katika Televisheni atakubaliana nami kuwa ina-reflect mpinzani halisi.
Rai yangu ni kila anayetaka CCM iondoke madarakani 2015 ni muhimu tumwonyeshe Mbatia kuwa tunampuuza na tunamjua kuwa ni mamluki.