James Mbatia amemvua uongozi Wa Katibu Wanawake Bi Amina kwa kosa la Kusaini Waraka wa kutaka Mbatia atolewe Uenyekiti Taifa!
Bi Amina tayari amesha kabidhiwa barua hiyo na Kambi Ya Mbatia inaendelea kutengua uteuzi wa wajumbe wote walioteuliwa na Mbatia kama kitisho ili kuepuka kundi la kumtoa.
Leo kuna kikao cha wenyeviti na Makatibu Mikoa kinaendelea ktk Ukumbi wa Katoliki Bunju.
Mbatia anafanya njama za kumuvua uanachama Kafulila.
Bi Amina tayari amesha kabidhiwa barua hiyo na Kambi Ya Mbatia inaendelea kutengua uteuzi wa wajumbe wote walioteuliwa na Mbatia kama kitisho ili kuepuka kundi la kumtoa.
Leo kuna kikao cha wenyeviti na Makatibu Mikoa kinaendelea ktk Ukumbi wa Katoliki Bunju.
Mbatia anafanya njama za kumuvua uanachama Kafulila.