Hajitokezi wapi?! hapa JF au ?!Huyu bwana katajwa kwenye thread ya kaka yake kulalamika kuhusu viwanja mafia. sasa sisi wanamafia tunataka kujua kwa nini hajitoketi tukajua moja kama kweli ana nia ya kugopmbea ubunge au la na kama ana nia hiyo mbona anajificha jificha?
Hakuna uchaguzi wa ubunge mafia, mbunge aliyekuwepo hajajivua gamba, hajafa na wala hajajiuzuru, sasa ubunge huo ni wa kitu gani?
Aoe kwanza tuone km anafaa.....
fitna za burji hizo zitakuwa, burji ni gamba kuu lingine tulitokomeze.
hakuna futna hapa ni ukweli mtupu
mwanzoni mlimfanyia sana fitna kimbau sasa mmehamia kwa buji
mbunge ambaye hajaenda shule kaleta maendeleo ya kutisha mafia. uwanja wa ndege, bandari, shule za msingi na sekondari, visima vya maji, hospitali na mengineyo sasa wananchi hawajali kama nyie mmesoma au la watu wanataka maendeleo. sasa huyo mbaraka kaleta maendeleo yepi? kama mbunge wa sasa ataamua kutoendelea bura apewe omari kimbau kwani yuko karibu zaidi na wananchi kuliko nyinyi ambao shughuli yenu kubwa ni kumtukana mbunge wa sasa na kumdhalilisha kila mnapopata nafasiacha kulalamika ww, thibitisha kama Kimbau kafanyiwa fitna na mbaraka, we inaonekana tatizo lako shule hujaenda kama mbunge wako ndo mana akili zenu zimekaa kuwaza fitna.
Anategemea fedha za wizi za nduguye pale NSSF!!![/Q
huna jipya, inakuuma kuona watu wakifanya kazi NSSF.utakufa na roho yako mbaya.
mbunge ambaye hajaenda shule kaleta maendeleo ya kutisha mafia. uwanja wa ndege, bandari, shule za msingi na sekondari, visima vya maji, hospitali na mengineyo sasa wananchi hawajali kama nyie mmesoma au la watu wanataka maendeleo. sasa huyo mbaraka kaleta maendeleo yepi? kama mbunge wa sasa ataamua kutoendelea bura apewe omari kimbau kwani yuko karibu zaidi na wananchi kuliko nyinyi ambao shughuli yenu kubwa ni kumtukana mbunge wa sasa na kumdhalilisha kila mnapopata nafasi
huoni hata aibu mtu mzima kuongopa namna hiyo,na inadhihirisha kuwa wananchi washamchoka huyo mbunge wako umeanza kumpigia debe mtu mwingine.
"UJINGA HAUNA KWAO"