wakuu
habari zenu
nafikiria kununua kijinyumba sasa kila nipitapo mjini naona kuna hawa wanaitwa MBAGA REAL ESTATE AGENCY je ni wazuri au matapeli tu wa mjini
mmiliki wake ni nani??
Emmanuel Mbagga, nimewahi kuongea naye ila simfahamu, katik amazungumzo yake haonekani kama ni tapeli japo kwa ninavyoona matangazo yake nilitegemea ingekuwa Kampuni Kubwa...ila I doubt!
Mtafute kwa email: embaga@yahoo.com
Nadhani cha muhimu ni kujua ni vitugani unatakiwa kusaidiwa na Real Estate then unakwenda kwao kuwapa offer yako ila unatakiwa kufahamu ni kwanini unakwenda kwa Real Estate na unategemea huduma gani. Fahamu procedures then nenda wakusaidie, Ukianza kuuliza kama ni real aur feck tutakudanganya. nenda wakupe mfano wa kazi walizo fanya then kama unataka uhakika tafuta hao wateja ongea nao pata uhakika then BOOOMMM u get to know if they are real of not.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.