Mbabe Gattuso!

Nafikiri Gatusso atakuwa amechangia hata Ronadinho kuondoka AC Millan.

Ukiangalia hii Video, utagundua kuwa walikuwa hawapikiki kabisa maana jamaa alikuwa hampendi kijana wa Samba.

Hizi ngumi na mateke, sidhani kocha au uongozi hawakuuona. Ila kama ni kuchagua, wamechagua Gatusso.

Ama kweli mcheza kwao hutuzwa. Kwa tabia za Italiano, kama PM (ambaye ndiye mwenye timu) kama Gatusso.



Huyu gatuso kweli bangi mtu!
 
Last edited by a moderator:
jordan_1827113c.jpg

Heated: Milan's Gennaro Gattuso and Tottenham assistant manager Joe Jordan go toe to toe as tensions rise at San Siro Photo: REUTERS

Hawa jamaa, na hasa huyu kocha msaidizi, inaonekana maneno wanayosema yanaanza na ffffffffff*****.
 
huyu dogo akienda Uingereza kwenye game ya marudiano waingereza wanaweza kumchapa kwani kitendo alichofanya jana ni cha aibu na sio cha kusifiwa!
Huyu ni mzoefu wa fujo,hata akienda uingereza hata ogopa kitu!!
 
jordan_1827113c.jpg

Heated: Milan's Gennaro Gattuso and Tottenham assistant manager Joe Jordan go toe to toe as tensions rise at San Siro Photo: REUTERS

Mambo kama haya tumezoea kuyaona mechi za mchangani kumbe hata kwa wenzetu. Kibongo bongo hapo hatuoni tatizo
 
Jamaa mwenyewe mzee, busara hana,. Ndo maana hizi timu za italy haziwezi kusonga mbele hasa kwasababu ya umri wa wachezaji. Gatusso huwa hashirikishi ubongo. Ngoja tuubiri adhabu ya uefa ndo atajua!

Acha kukurupuka na wewe.
Bingwa mtetezi wa klabu bingwa barani ulaya ni timu ipi?
Na je inatoka nchi gani?
Kama huna cha kuchangia ktk jukwaa la michezo basi majukwaa yako mengi.

Nenda hata jukwaa la Afya utakutana na wenzako mchangie mada za magonjwa ya zinaa, matende na mabusha.
 
Acha kukurupuka na wewe.
Bingwa mtetezi wa klabu bingwa barani ulaya ni timu ipi?
Na je inatoka nchi gani?
Kama huna cha kuchangia ktk jukwaa la michezo basi majukwaa yako mengi.

Nenda hata jukwaa la Afya utakutana na wenzako mchangie mada za magonjwa ya zinaa, matende na mabusha.

Nimeipenda hyo...Au ndo kaanza kushabikia mpira wa miguu juzi??
 
huyu dogo akienda Uingereza kwenye game ya marudiano waingereza wanaweza kumchapa kwani kitendo alichofanya jana ni cha aibu na sio cha kusifiwa!
Hachezi mechi ya marudiano,mbona alishawahi kumchapa Ancelotti pia,nyeti hizo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom