Nafikiri Gatusso atakuwa amechangia hata Ronadinho kuondoka AC Millan.
Ukiangalia hii Video, utagundua kuwa walikuwa hawapikiki kabisa maana jamaa alikuwa hampendi kijana wa Samba.
Hizi ngumi na mateke, sidhani kocha au uongozi hawakuuona. Ila kama ni kuchagua, wamechagua Gatusso.
Ama kweli mcheza kwao hutuzwa. Kwa tabia za Italiano, kama PM (ambaye ndiye mwenye timu) kama Gatusso.
Heated: Milan's Gennaro Gattuso and Tottenham assistant manager Joe Jordan go toe to toe as tensions rise at San Siro Photo: REUTERS
i love gianfranco zolai hate italian teams and players!
Huyu ni mzoefu wa fujo,hata akienda uingereza hata ogopa kitu!!huyu dogo akienda Uingereza kwenye game ya marudiano waingereza wanaweza kumchapa kwani kitendo alichofanya jana ni cha aibu na sio cha kusifiwa!
Heated: Milan's Gennaro Gattuso and Tottenham assistant manager Joe Jordan go toe to toe as tensions rise at San Siro Photo: REUTERS
Bange tu mkuu na ukorofi!kwa wale wanaomjua hapa hakuna cha ajabu,hii ni kawaida yake!!Gattuso bwana.....huenda alikasirishwa na huyo kocha msaidizi.
Jamaa mwenyewe mzee, busara hana,. Ndo maana hizi timu za italy haziwezi kusonga mbele hasa kwasababu ya umri wa wachezaji. Gatusso huwa hashirikishi ubongo. Ngoja tuubiri adhabu ya uefa ndo atajua!
Acha kukurupuka na wewe.
Bingwa mtetezi wa klabu bingwa barani ulaya ni timu ipi?
Na je inatoka nchi gani?
Kama huna cha kuchangia ktk jukwaa la michezo basi majukwaa yako mengi.
Nenda hata jukwaa la Afya utakutana na wenzako mchangie mada za magonjwa ya zinaa, matende na mabusha.
Hachezi mechi ya marudiano,mbona alishawahi kumchapa Ancelotti pia,nyeti hizo!huyu dogo akienda Uingereza kwenye game ya marudiano waingereza wanaweza kumchapa kwani kitendo alichofanya jana ni cha aibu na sio cha kusifiwa!