Insabhunsa Gusa
Senior Member
- May 13, 2011
- 109
- 88
Kwenu wanazuoni,
Naomba mnijuze kwanza ubora wa MBA katika vyuo hivi viwili. Pili, MBA in CORPORATE MANAGEMENT inahusika na nini hasa? Na inatofauti gani na hizi MBA za UDSM. Asanteni kwa mchango wenu wenye tija!!! Vile vile ni courses zipi(Modules) zinazotengeneza MBA(Corporate Management)
Naomba mnijuze kwanza ubora wa MBA katika vyuo hivi viwili. Pili, MBA in CORPORATE MANAGEMENT inahusika na nini hasa? Na inatofauti gani na hizi MBA za UDSM. Asanteni kwa mchango wenu wenye tija!!! Vile vile ni courses zipi(Modules) zinazotengeneza MBA(Corporate Management)