Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
Sikumbuki mazuri yake ila ntasema "Mazuri tunayomfanyia sisi wananchi na kodi zetu"
a) Anapata kiinua mgongo (pension) kama "retired PM ambayo ni amount nzuri kwelikweli! japo ni mwizi na mhalifu
b) Bado ni MP japo hajatutendea vema wananchi wa TZ kama PM kashfa kibao
c) Hajapelekwa mahakamani kama Mramba, Yona, Mgonja etc kwanini? I can't wait that happening.
a) Anapata kiinua mgongo (pension) kama "retired PM ambayo ni amount nzuri kwelikweli! japo ni mwizi na mhalifu
b) Bado ni MP japo hajatutendea vema wananchi wa TZ kama PM kashfa kibao
c) Hajapelekwa mahakamani kama Mramba, Yona, Mgonja etc kwanini? I can't wait that happening.