Kwa nia njema na kwa lengo la kutaka kujielimisha naomba watu ambao wanayajua mazuri ya CCM wanitajie; Hii ni pamoja na yale yaliyofanywa na TANU na ASP
1. CCM kama TANU walileta uhuru
2. CCM ilijenga umoja wa kitaifa
3. CCM ilitetea wakulima na wafanyakazi
4. CCM ilifanikisha muungano wa Tanganyika na Zanzibar
5. Zanzibar ilijenga nyumba za makazi kwa watu masikini
6. CCM iliruhusu mfumo wa vyama vingi
7. CCM ilianzisha azimio la Arusha (misingi ya utu)
8. CCM elimu kwa wote, elimu bure kwa shule za misingi
9.
10.
11.
12.
13.
.
.
.
Nawasilisha, nataka kujifunza ili nijue kama natoa hukumu ya kweli au nakosa taarifa sahihi
"wali...", "ili..." "wali..." ...tunataka useme "wana", "ina".Kwa nia njema na kwa lengo la kutaka kujielimisha naomba watu ambao wanayajua mazuri ya CCM wanitajie; Hii ni pamoja na yale yaliyofanywa na TANU na ASP
1. CCM kama TANU walileta uhuru
2. CCM ilijenga umoja wa kitaifa
3. CCM ilitetea wakulima na wafanyakazi
4. CCM ilifanikisha muungano wa Tanganyika na Zanzibar
5. Zanzibar ilijenga nyumba za makazi kwa watu masikini
6. CCM iliruhusu mfumo wa vyama vingi
7. CCM ilianzisha azimio la Arusha (misingi ya utu)
8. CCM elimu kwa wote, elimu bure kwa shule za misingi
.
Nawasilisha, nataka kujifunza ili nijue kama natoa hukumu ya kweli au nakosa taarifa sahihi
Kwa nia njema na kwa lengo la kutaka kujielimisha naomba watu ambao wanayajua mazuri ya CCM wanitajie; Hii ni pamoja na yale yaliyofanywa na TANU na ASP
1. CCM kama TANU walileta uhuru - familia za vigogo wa ccm hao hao ndio wameamua kufaidi matunda ya uhuru
2. CCM ilijenga umoja wa kitaifa - Sasa inaubomoa tena kwa kasi kubwa kwa kisingizio cha udini, ukanda na ukabila
3. CCM ilitetea wakulima na wafanyakazi - sasa inatetea wafanyabiashara wakubwa wanaofadhili chama na wawekezaji
4. CCM ilifanikisha muungano wa Tanganyika na Zanzibar - muungano ndio hivyo tena umeshavunjika tangu zanzibar wapitishe katiba yao. Sijui kama tutaweza kuurudisha tena kupitia serikali tatu au ndio tunaumalizia kabisa
5. Zanzibar ilijenga nyumba za makazi kwa watu masikini - hii nawaachia waunguja na wapemba waseme, mimi mtanganyika
6. CCM iliruhusu mfumo wa vyama vingi - CCM inatumia vyombo vya dola kuvikandamiza vyama vya upinzani
7. CCM ilianzisha azimio la Arusha (misingi ya utu) - CCM ikaliua azimio la Arusha kupitia azimio la Zanzibar
8. CCM elimu kwa wote, elimu bure kwa shule za misingi - bora elimu na sio elimu bora
9.
10.
11.
12.
13.
.
.
.
Nawasilisha, nataka kujifunza ili nijue kama natoa hukumu ya kweli au nakosa taarifa sahihi