Niliwahi kuanzisha mada humu ndani ikisema kwamba mambo si shwari kati ya ma DR na Kamati ya Bwana Pinda! Hii imejidhihirisha leo ambapo kamati hiyo imeshakabidhi mapendekezo yake kwa mh. Pinda lakini:hatari: kwa juhudi kubwa wawakilishi wa ma Dr. wameomba mazungumzo na PM kabla hajatangaza maamuzi yake ili pande mbili zifikie negotiation, cha ajabu kwenye kikao hicho wanaalikwa watu LUKUKI-manesi, wafamasia,watu wa mionzi na watu wote wa kada za afya. Madaktari wamegoma kufanya kikao kikijumuisha hao watu wote kwa sababu zifuatazo;
-Issue ya mgomo ilikuwa ni ya madaktari TU, wafanyakazi wengine hawakugoma, kwa hiyo wanataka kudandia walichoanzisha wenzao
- Kinachojadiliwa ni madai 8 TU waliyopendekeza maDR kwa waziri mkuu, je hao wengine madai yao ni yapi?
-Kada zote zikiingia humo,issue nzima itakuwa neutralized!
Zimebaki siku 2 kufika mwisho wa tarehe aliyoahidi PM kumaliza hili tatizo, kikao kimevunjika, je ni nini kitatokea?
MY TAKE;
-Serikali bado inacheza politics kwenye hii game
-Madaktari watakutana 3/3/2012 kwa maamuzi mazito zaidi ya yale ya mwanzo
-Je sisi wananchi tunasemaje??
MUNGU TUNUSURU!!
-Issue ya mgomo ilikuwa ni ya madaktari TU, wafanyakazi wengine hawakugoma, kwa hiyo wanataka kudandia walichoanzisha wenzao
- Kinachojadiliwa ni madai 8 TU waliyopendekeza maDR kwa waziri mkuu, je hao wengine madai yao ni yapi?
-Kada zote zikiingia humo,issue nzima itakuwa neutralized!
Zimebaki siku 2 kufika mwisho wa tarehe aliyoahidi PM kumaliza hili tatizo, kikao kimevunjika, je ni nini kitatokea?
MY TAKE;
-Serikali bado inacheza politics kwenye hii game
-Madaktari watakutana 3/3/2012 kwa maamuzi mazito zaidi ya yale ya mwanzo
-Je sisi wananchi tunasemaje??
MUNGU TUNUSURU!!